ukikaidi utapigwa2
JF-Expert Member
- Feb 24, 2015
- 15,265
- 29,991
shirikisho mlicheza kiliwapata nini?Vuka kwanza makundi tuone kama rahisi ili uanze kuchukua ww ufungue njia umecheza mechi 9 Caf champions league group umepigwa 5 ume draw 4 hujawahi shinda hata mechi moja tangia 1993.
Sisi tulivaa medal za Caf champions league mwaka 1993 Kwan nyie mmechukua nn hko Caf confederation cup baada ya kumtoa kibonde marumo gallant iliyoshuka daraja huko kwa madiba.shirikisho mlicheza kiliwapata nini?
Zile 5 zilifyatua fyuzi zote mpaka mnaweweseka Kama kuku wa mdondo, ebu tuwekee iyo press ya gamond labda alikuwa anayasemea nyumbani kwako maana press zake zote tumezisikia tuwekee iyo yenye ayo maneno uliyoyatapika mwenyewe!Katika press ya kabla ya mechi ya Yanga vs Mtibwa, Kocha Gamondi alisema ukweli mchungu ambao inawezekana wanachama, mashabiki na wapenzi wa Yanga wangekuwa wanajua ngeli na ung'eng'e wakaweza kumuelewa, angekuwa na wakati mgumu sana.
Gamondi alianza kwa kuomba msamaha kwa wale ambao watakwazika kwa maneno yake halafu akasema Kombe la Shirikisho ni kombe dogo na lisilo na hadhi. Vitimu ambavyo vingine vimeshindwa kwenye Klabu Bingwa vinaangukia huko, ghafla vinajikuta kwenye fainali halafu vinaanza kusumbua watu.
Akamalizia kwa kusema huku Klabu Bingwa ni kugumu mnoo maana kila unayekutana naye ni timu ya viwango, hakuna timu unayoweza kuita ni kibonde.
Sasa kama hadi Gamondi anasema hivyo, wewe mshabiki hoya hoya unabisha nini?
Kombe la kitoto ambalo Simba hajawahi kufika hata nusu fainali.Katika press ya kabla ya mechi ya Yanga vs Mtibwa, Kocha Gamondi alisema ukweli mchungu ambao inawezekana wanachama, mashabiki na wapenzi wa Yanga wangekuwa wanajua ngeli na ung'eng'e wakaweza kumuelewa, angekuwa na wakati mgumu sana.
Gamondi alianza kwa kuomba msamaha kwa wale ambao watakwazika kwa maneno yake halafu akasema Kombe la Shirikisho ni kombe dogo na lisilo na hadhi. Vitimu ambavyo vingine vimeshindwa kwenye Klabu Bingwa vinaangukia huko, ghafla vinajikuta kwenye fainali halafu vinaanza kusumbua watu.
Akamalizia kwa kusema huku Klabu Bingwa ni kugumu mnoo maana kila unayekutana naye ni timu ya viwango, hakuna timu unayoweza kuita ni kibonde.
Sasa kama hadi Gamondi anasema hivyo, wewe mshabiki hoya hoya unabisha nini?
Acha uongo.Sisi tulivaa medal za Caf champions league mwaka 1993 Kwan nyie mmechukua nn hko Caf confederation cup baada ya kumtoa kibonde marumo gallant iliyoshuka daraja huko kwa madiba.
Rudi kwenye post ya kwanza utaiona ila usisahau kurudi kunishukuru maana wenzio wakishaiona wanapotea mazimaZile 5 zilifyatua fyuzi zote mpaka mnaweweseka Kama kuku wa mdondo, ebu tuwekee iyo press ya gamond labda alikuwa anayasemea nyumbani kwako maana press zake zote tumezisikia tuwekee iyo yenye ayo maneno uliyoyatapika mwenyewe!
Lete ukweli mkuu sio unaishia vijembe tuAcha uongo.
Rubbish.Jamaa mkweli sana, jana alionekana kama anataka kulia. Jumatano baada ya kipigo atawaambia kuhusu tofauti ya marefa wa huku na wa NBC
inamaana hujaona hiyo clip au umejitoa ufahamu mkuuZile 5 zilifyatua fyuzi zote mpaka mnaweweseka Kama kuku wa mdondo, ebu tuwekee iyo press ya gamond labda alikuwa anayasemea nyumbani kwako maana press zake zote tumezisikia tuwekee iyo yenye ayo maneno uliyoyatapika mwenyewe!
Hii ntatamba nayo mtaaniVuka kwanza makundi tuone kama rahisi ili uanze kuchukua ww ufungue njia umecheza mechi 9 Caf champions league group umepigwa 5 ume draw 4 hujawahi shinda hata mechi moja tangia 1993.