Kocha Himdi Maloud anaweza kuwa jasusi wa soka aliyekuja kuimaliza Yanga, afukuzwe mapema

Kocha Himdi Maloud anaweza kuwa jasusi wa soka aliyekuja kuimaliza Yanga, afukuzwe mapema

Kocha wetu huyo
images.jpeg
 
Habari wakuu

Nimewahi kuleta nyuzi kadhaa humu jukwqani za utabiri mfano "Gusa achia twende kwao" inaenda kuleta mapinduzi ya pili ligi kuu NBCPL Round ya pili kuanzia january timu ndogo zitafunga timu kubwa

Mwanzo wa msimu niliandika huu uzi kuhusu JKT Nimeuelewa ukuta wa JKT unatisha, yeyote akae mguu sawa

Pia nikaandika kuhusu Ramovic ambaye waarabu waliona kazi yake mapema wakamnyakua Kocha mpya wa Yanga Sead Ramovic ni hatari zaidi kuliko Gamond baada ya mechi tano zijazo mtamsahau Gamond


Huyu kocha wa sasa anairudisha Yanga kule kule ilikotoka, hajui shida ya yanga ni nini, kwa muujibu wa Ramovic shida ya yanga ilikuwa ni utimamu wa mwili (physical fitness)

Leo nimeona wachezaji ni kama vile wqmeanza kuchoka tena hii ni kazi ya mazoezini huko kocha na wenzake sijui wanafanya kitu gani mpaka wachezaji wamechoka ghafla hivi

Timu haina falsafa hakuna tena ule moira wa speed wa kugusa na kuachia twende kwao ndani ya mechi moja tu tayari kashaanza kurudi kule kule


Alikuwa Singida sasa hivi imepoteana ili sare na kagera sugar juzi leo imekaangwa na KMC


Kamuanzisha Chama kwenye gemu ngumu kama hii, kwa haiba ya Aziz ki lazima wakorofishane na huyu kocha,

Ataleta migogoro ya kufa mtu na ataua kipaji cha wachezaji wengi akiwemo mzize na kibwana

Nimesema mapema
Asipofukuzwa huyu kocha mtakuja kustuka yanga imebaki makopo

Nawasilisha
Makopo tena 😀
 
Habari wakuu

Nimewahi kuleta nyuzi kadhaa humu jukwqani za utabiri mfano "Gusa achia twende kwao" inaenda kuleta mapinduzi ya pili ligi kuu NBCPL Round ya pili kuanzia january timu ndogo zitafunga timu kubwa

Mwanzo wa msimu niliandika huu uzi kuhusu JKT Nimeuelewa ukuta wa JKT unatisha, yeyote akae mguu sawa

Pia nikaandika kuhusu Ramovic ambaye waarabu waliona kazi yake mapema wakamnyakua Kocha mpya wa Yanga Sead Ramovic ni hatari zaidi kuliko Gamond baada ya mechi tano zijazo mtamsahau Gamond


Huyu kocha wa sasa anairudisha Yanga kule kule ilikotoka, hajui shida ya yanga ni nini, kwa muujibu wa Ramovic shida ya yanga ilikuwa ni utimamu wa mwili (physical fitness)

Leo nimeona wachezaji ni kama vile wqmeanza kuchoka tena hii ni kazi ya mazoezini huko kocha na wenzake sijui wanafanya kitu gani mpaka wachezaji wamechoka ghafla hivi

Timu haina falsafa hakuna tena ule moira wa speed wa kugusa na kuachia twende kwao ndani ya mechi moja tu tayari kashaanza kurudi kule kule


Alikuwa Singida sasa hivi imepoteana ili sare na kagera sugar juzi leo imekaangwa na KMC


Kamuanzisha Chama kwenye gemu ngumu kama hii, kwa haiba ya Aziz ki lazima wakorofishane na huyu kocha,

Ataleta migogoro ya kufa mtu na ataua kipaji cha wachezaji wengi akiwemo mzize na kibwana

Nimesema mapema
Asipofukuzwa huyu kocha mtakuja kustuka yanga imebaki makopo

Nawasilisha
Yani mechi Moja tu ushaanza kumlaumu kocha? Ana muda Gani na timu uyo kocha? Kusimama timu siku 3 tiyali kashusha viwango vya wachezaji? Hii nchi ngumu sana hii!
 
Yani mechi Moja tu ushaanza kumlaumu kocha? Ana muda Gani na timu uyo kocha? Kusimama timu siku 3 tiyali kashusha viwango vya wachezaji? Hii nchi ngumu sana hii!
Kwenye mpira kuna mambo yakuzingatia mkuu
Kitendo cha kuanza na chama ni wazi huyu kocha ni mbishi hasikilizi wasaidizi wake

Juzi tu moalin kaachiwa timu hatukuona haya mambo
 
Kwenye mpira kuna mambo yakuzingatia mkuu
Kitendo cha kuanza na chama ni wazi huyu kocha ni mbishi hasikilizi wasaidizi wake

Juzi tu moalin kaachiwa timu hatukuona haya mambo

Yaani ni bora wangemwachia Moalin hadi mwisho wa msimu kisha wakatafuta kocha wa kueleweka akaanza na msimu mpya.
 
Ramovic hakukubalika na mashabiki wengi wa Yanga akiwemo ngara23 ila jicho linalojua mpira wakamchukua fasta tu tena kwa dau nono. Na aliondoka na takwimu nzuri sana akiwa Yanga kwenye ligi kuu.
Kwenye ligi dhaifu
 
Game ya jana wachezaji walikua wanacheza kama vile wana uchovu sana. Sijui ni fitness imeshuka ghafla au izo siku mbili za wikiend walikesha kidimbwi.

Pia kocha anaonekana bado hawajui vizuri wachezaji wake. Chama sio wa kuanza mbele ya Aziz kii, sub za mzize na pacome zingesubiri kwanza. Sub 3 za kwanza zilitakiwa kuwatoa nje mudathir, chama na dube
 
Back
Top Bottom