Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tuemeanzaaaaaaaaaaaa upyaaaaaaaaaaaaaEnheheheheheeee hatari kweli eti kocha anaitwa Amadi maulidi we uliskia wapi we uliskia wapi!!!??
Makopo tena 😀Habari wakuu
Nimewahi kuleta nyuzi kadhaa humu jukwqani za utabiri mfano "Gusa achia twende kwao" inaenda kuleta mapinduzi ya pili ligi kuu NBCPL Round ya pili kuanzia january timu ndogo zitafunga timu kubwa
Mwanzo wa msimu niliandika huu uzi kuhusu JKT Nimeuelewa ukuta wa JKT unatisha, yeyote akae mguu sawa
Pia nikaandika kuhusu Ramovic ambaye waarabu waliona kazi yake mapema wakamnyakua Kocha mpya wa Yanga Sead Ramovic ni hatari zaidi kuliko Gamond baada ya mechi tano zijazo mtamsahau Gamond
Huyu kocha wa sasa anairudisha Yanga kule kule ilikotoka, hajui shida ya yanga ni nini, kwa muujibu wa Ramovic shida ya yanga ilikuwa ni utimamu wa mwili (physical fitness)
Leo nimeona wachezaji ni kama vile wqmeanza kuchoka tena hii ni kazi ya mazoezini huko kocha na wenzake sijui wanafanya kitu gani mpaka wachezaji wamechoka ghafla hivi
Timu haina falsafa hakuna tena ule moira wa speed wa kugusa na kuachia twende kwao ndani ya mechi moja tu tayari kashaanza kurudi kule kule
Alikuwa Singida sasa hivi imepoteana ili sare na kagera sugar juzi leo imekaangwa na KMC
Kamuanzisha Chama kwenye gemu ngumu kama hii, kwa haiba ya Aziz ki lazima wakorofishane na huyu kocha,
Ataleta migogoro ya kufa mtu na ataua kipaji cha wachezaji wengi akiwemo mzize na kibwana
Nimesema mapema
Asipofukuzwa huyu kocha mtakuja kustuka yanga imebaki makopo
Nawasilisha
Yani mechi Moja tu ushaanza kumlaumu kocha? Ana muda Gani na timu uyo kocha? Kusimama timu siku 3 tiyali kashusha viwango vya wachezaji? Hii nchi ngumu sana hii!Habari wakuu
Nimewahi kuleta nyuzi kadhaa humu jukwqani za utabiri mfano "Gusa achia twende kwao" inaenda kuleta mapinduzi ya pili ligi kuu NBCPL Round ya pili kuanzia january timu ndogo zitafunga timu kubwa
Mwanzo wa msimu niliandika huu uzi kuhusu JKT Nimeuelewa ukuta wa JKT unatisha, yeyote akae mguu sawa
Pia nikaandika kuhusu Ramovic ambaye waarabu waliona kazi yake mapema wakamnyakua Kocha mpya wa Yanga Sead Ramovic ni hatari zaidi kuliko Gamond baada ya mechi tano zijazo mtamsahau Gamond
Huyu kocha wa sasa anairudisha Yanga kule kule ilikotoka, hajui shida ya yanga ni nini, kwa muujibu wa Ramovic shida ya yanga ilikuwa ni utimamu wa mwili (physical fitness)
Leo nimeona wachezaji ni kama vile wqmeanza kuchoka tena hii ni kazi ya mazoezini huko kocha na wenzake sijui wanafanya kitu gani mpaka wachezaji wamechoka ghafla hivi
Timu haina falsafa hakuna tena ule moira wa speed wa kugusa na kuachia twende kwao ndani ya mechi moja tu tayari kashaanza kurudi kule kule
Alikuwa Singida sasa hivi imepoteana ili sare na kagera sugar juzi leo imekaangwa na KMC
Kamuanzisha Chama kwenye gemu ngumu kama hii, kwa haiba ya Aziz ki lazima wakorofishane na huyu kocha,
Ataleta migogoro ya kufa mtu na ataua kipaji cha wachezaji wengi akiwemo mzize na kibwana
Nimesema mapema
Asipofukuzwa huyu kocha mtakuja kustuka yanga imebaki makopo
Nawasilisha
Kwenye mpira kuna mambo yakuzingatia mkuuYani mechi Moja tu ushaanza kumlaumu kocha? Ana muda Gani na timu uyo kocha? Kusimama timu siku 3 tiyali kashusha viwango vya wachezaji? Hii nchi ngumu sana hii!
Kwenye mpira kuna mambo yakuzingatia mkuu
Kitendo cha kuanza na chama ni wazi huyu kocha ni mbishi hasikilizi wasaidizi wake
Juzi tu moalin kaachiwa timu hatukuona haya mambo
🤣🤣🤣Ahahah raha sana kupitia post za utopolo wakiwa wametoka droo au kufungwa...
🤣 🤣 🤣 🤣
Nami nimeshangaaYani mechi Moja tu ushaanza kumlaumu kocha? Ana muda Gani na timu uyo kocha? Kusimama timu siku 3 tiyali kashusha viwango vya wachezaji? Hii nchi ngumu sana hii!
eeh!, we nanii huyo si zahor matelephone huyo!!?Kocha wetu huyo
View attachment 3232672