Kocha Juma Mgunda ukiona 'anayetroti' ni Kipa jua atakayetoka siyo Mchezaji wa ndani

Kocha Juma Mgunda ukiona 'anayetroti' ni Kipa jua atakayetoka siyo Mchezaji wa ndani

GENTAMYCINE

JF-Expert Member
Joined
Jul 13, 2013
Posts
60,660
Reaction score
121,325
Pamoja na kutumia Nguvu Kubwa sana (yenye Unafiki mwingi) ya kuonyesha kuwa Unampenda Kocha Mkuu wa Simba SC (Boss wako) Roberto Olivieira na kwamba huna tatizo nae tayari wenye Akili na Maono wameshakushtukia na hata Kocha Olivieira nae Kakushtukia na wameamua Kumleta huyo Mtunisia ili aje kuwa Kocha Msaidizi wake.

GENTAMYCINE nililiona hili mapema na kuutaka Uongozi wa Simba SC ukutoe hapo Wewe na Mnafiki na Msaliti Mwingine Kocha Matola na mpaka Msaliti Mwingine Meneja Rweymamu ili kumpa Uhuru na Ufanisi zaidi Kocha Mkuu huyu Mpya Mbrazili Olivieira.

Kocha Msaidizi Mgunda tokea Kocha Mkuu Olivieira atangazwe Simba SC upesi sana 'Body Language' yako nayo ilibadilika na kuanza kuwa na Kiburi, Majungu, Kususia baadhi ya Mambo na Kujitenga katika Ufundishaji na utoaji na Maelekezo.

Anza kujiandaa sasa Kisaikolojia juu ya Nafasi yako hapo Simba SC kama Kocha Msaidizi kwani muda wowote Unanyolewa ila utapoozwa tu Kiaina kwa kupangiwa Majukumu mengine ndani ya Klabu na baadae kabisa watakutafutia Kosa na Kukunyoa kabisa kwani wanajua Wakikunyoa mazima sasa unaweza Kulalamika, Kutoa Siri muhimu za Timu na kuharibu mwenendo wa Ufanisi wa Klabu ya Simba.

Mwisho namalizia kwa Kuulaumu Uongozi wa Simba SC kwani kwakuwa walishajua kuwa wanamleta Kocha Mkuu Mbrazili Olivieira basi walipaswa walifyagie Benchi zima la Ufundi na wamruhusu aje na lake ili akiharibu tutakuwa na Wigo mpana wa Kumlaumu kuliko kuruhusu aje peke yake na afanye Kazi na Wazawa ambao (Wengine tunaishi nao Mitaani mwetu) na tunawajua kuwa ni Mabingwa wa Majungu, Fitna, Uchochezi na hata Ushirikina ili Kocha Mgeni asikae / afukuzwe.

Cc: residentura
 
Pamoja na kutumia Nguvu Kubwa sana (yenye Unafiki mwingi) ya kuonyesha kuwa Unampenda Kocha Mkuu wa Simba SC (Boss wako) Roberto Olivieira na kwamba huna tatizo nae tayari wenye Akili na Maono wameshakushtukia na hata Kocha Olivieira nae Kakushtukia na wameamua Kumleta huyo Mtunisia ili aje kuwa Kocha Msaidizi wake.

GENTAMYCINE nililiona hili mapema na kuutaka Uongozi wa Simba SC ukutoe hapo Wewe na Mnafiki na Msaliti Mwingine Kocha Matola na mpaka Msaliti Mwingine Meneja Rweymamu ili kumpa Uhuru na Ufanisi zaidi Kocha Mkuu huyu Mpya Mbrazili Olivieira.

Kocha Msaidizi Mgunda tokea Kocha Mkuu Olivieira atangazwe Simba SC upesi sana 'Body Language' yako nayo ilibadilika na kuanza kuwa na Kiburi, Majungu, Kususia baadhi ya Mambo na Kujitenga katika Ufundishaji na utoaji na Maelekezo.

Anza kujiandaa sasa Kisaikolojia juu ya Nafasi yako hapo Simba SC kama Kocha Msaidizi kwani muda wowote Unanyolewa ila utapoozwa tu Kiaina kwa kupangiwa Majukumu mengine ndani ya Klabu na baadae kabisa watakutafutia Kosa na Kukunyoa kabisa kwani wanajua Wakikunyoa mazima sasa unaweza Kulalamika, Kutoa Siri muhimu za Timu na kuharibu mwenendo wa Ufanisi wa Klabu ya Simba.

Mwisho namalizia kwa Kuulaumu Uongozi wa Simba SC kwani kwakuwa walishajua kuwa wanamleta Kocha Mkuu Mbrazili Olivieira basi walipaswa walifyagie Benchi zima la Ufundi na wamruhusu aje na lake ili akiharibu tutakuwa na Wigo mpana wa Kumlaumu kuliko kuruhusu aje peke yake na afanye Kazi na Wazawa ambao (Wengine tunaishi nao Mitaani mwetu) na tunawajua kuwa ni Mabingwa wa Majungu, Fitna, Uchochezi na hata Ushirikina ili Kocha Mgeni asikae / afukuzwe.

Cc: residentura
Simba inakwama sana huenda kwa kusikiliza watu wa majungu kama wewe.
Haiwezekani mtu umejaa chuki binafsi kiasi hiki na inatokea watu wapumbavu wanakusikiliza.

Nina masikitiko makubwa kwa aina hii ya mashabiki.Hakuna mchezaji wa maana anaweza kukaa Simba chini ya mijitu yenye ushabiki wa chuki,na kuleta uchonganishi kama wewe.

Lengo lako hasa ni nini kwa timu ya Simba?Maana kila inapotaka kufanikiwa unakuja na kitu cha kuivuruga timu na kuharibu kabisa saikolojia ya timu.

Kweli hii timu ina mashabiki wa hovyo sana.

Binafsi siwezi kuunga mkono upuuzi wa kuabudu wazungu na ngozi nyeupe.Kuna timu kubwa Afrika kama Angola wamecheza World Cup wakiwa na kocha mzawa.
Ninasikitishwa sana na huu upumbavu ninaouona kwa mashabiki mbu mbu mbu wanaoshangilia upuuzi
 
Nafikiri mngemshukuru Mgunda kwa kuwavusha kipindi kigumu na mwageni kwa heshima.
Hata ingekua wewe ungefurahia kunyang'anywa tonge mdomoni?
Ukocha ni maisha yake mkuu
Mimi siyo Mswahili kama alivyo na ulivyo Wewe sawa? Nisingekasirika na ningeheshimu Maamuzi ya Uongozi wa Simba SC na kutoa Ushirikiano mkubwa tu.
 
Pamoja na kutumia Nguvu Kubwa sana (yenye Unafiki mwingi) ya kuonyesha kuwa Unampenda Kocha Mkuu wa Simba SC (Boss wako) Roberto Olivieira na kwamba huna tatizo nae tayari wenye Akili na Maono wameshakushtukia na hata Kocha Olivieira nae Kakushtukia na wameamua Kumleta huyo Mtunisia ili aje kuwa Kocha Msaidizi wake.

GENTAMYCINE nililiona hili mapema na kuutaka Uongozi wa Simba SC ukutoe hapo Wewe na Mnafiki na Msaliti Mwingine Kocha Matola na mpaka Msaliti Mwingine Meneja Rweymamu ili kumpa Uhuru na Ufanisi zaidi Kocha Mkuu huyu Mpya Mbrazili Olivieira.

Kocha Msaidizi Mgunda tokea Kocha Mkuu Olivieira atangazwe Simba SC upesi sana 'Body Language' yako nayo ilibadilika na kuanza kuwa na Kiburi, Majungu, Kususia baadhi ya Mambo na Kujitenga katika Ufundishaji na utoaji na Maelekezo.

Anza kujiandaa sasa Kisaikolojia juu ya Nafasi yako hapo Simba SC kama Kocha Msaidizi kwani muda wowote Unanyolewa ila utapoozwa tu Kiaina kwa kupangiwa Majukumu mengine ndani ya Klabu na baadae kabisa watakutafutia Kosa na Kukunyoa kabisa kwani wanajua Wakikunyoa mazima sasa unaweza Kulalamika, Kutoa Siri muhimu za Timu na kuharibu mwenendo wa Ufanisi wa Klabu ya Simba.

Mwisho namalizia kwa Kuulaumu Uongozi wa Simba SC kwani kwakuwa walishajua kuwa wanamleta Kocha Mkuu Mbrazili Olivieira basi walipaswa walifyagie Benchi zima la Ufundi na wamruhusu aje na lake ili akiharibu tutakuwa na Wigo mpana wa Kumlaumu kuliko kuruhusu aje peke yake na afanye Kazi na Wazawa ambao (Wengine tunaishi nao Mitaani mwetu) na tunawajua kuwa ni Mabingwa wa Majungu, Fitna, Uchochezi na hata Ushirikina ili Kocha Mgeni asikae / afukuzwe.

Cc: residentura
Mzee kilomoni tumia mda wako kucheza na wajukuu, majungu hayakusaidii kwa umri wako
 
Pamoja na kutumia Nguvu Kubwa sana (yenye Unafiki mwingi) ya kuonyesha kuwa Unampenda Kocha Mkuu wa Simba SC (Boss wako) Roberto Olivieira na kwamba huna tatizo nae tayari wenye Akili na Maono wameshakushtukia na hata Kocha Olivieira nae Kakushtukia na wameamua Kumleta huyo Mtunisia ili aje kuwa Kocha Msaidizi wake.

GENTAMYCINE nililiona hili mapema na kuutaka Uongozi wa Simba SC ukutoe hapo Wewe na Mnafiki na Msaliti Mwingine Kocha Matola na mpaka Msaliti Mwingine Meneja Rweymamu ili kumpa Uhuru na Ufanisi zaidi Kocha Mkuu huyu Mpya Mbrazili Olivieira.

Kocha Msaidizi Mgunda tokea Kocha Mkuu Olivieira atangazwe Simba SC upesi sana 'Body Language' yako nayo ilibadilika na kuanza kuwa na Kiburi, Majungu, Kususia baadhi ya Mambo na Kujitenga katika Ufundishaji na utoaji na Maelekezo.

Anza kujiandaa sasa Kisaikolojia juu ya Nafasi yako hapo Simba SC kama Kocha Msaidizi kwani muda wowote Unanyolewa ila utapoozwa tu Kiaina kwa kupangiwa Majukumu mengine ndani ya Klabu na baadae kabisa watakutafutia Kosa na Kukunyoa kabisa kwani wanajua Wakikunyoa mazima sasa unaweza Kulalamika, Kutoa Siri muhimu za Timu na kuharibu mwenendo wa Ufanisi wa Klabu ya Simba.

Mwisho namalizia kwa Kuulaumu Uongozi wa Simba SC kwani kwakuwa walishajua kuwa wanamleta Kocha Mkuu Mbrazili Olivieira basi walipaswa walifyagie Benchi zima la Ufundi na wamruhusu aje na lake ili akiharibu tutakuwa na Wigo mpana wa Kumlaumu kuliko kuruhusu aje peke yake na afanye Kazi na Wazawa ambao (Wengine tunaishi nao Mitaani mwetu) na tunawajua kuwa ni Mabingwa wa Majungu, Fitna, Uchochezi na hata Ushirikina ili Kocha Mgeni asikae / afukuzwe.

Cc: residentura[/
[/QUOTE]
 
Pamoja na kutumia Nguvu Kubwa sana (yenye Unafiki mwingi) ya kuonyesha kuwa Unampenda Kocha Mkuu wa Simba SC (Boss wako) Roberto Olivieira na kwamba huna tatizo nae tayari wenye Akili na Maono wameshakushtukia na hata Kocha Olivieira nae Kakushtukia na wameamua Kumleta huyo Mtunisia ili aje kuwa Kocha Msaidizi wake.

GENTAMYCINE nililiona hili mapema na kuutaka Uongozi wa Simba SC ukutoe hapo Wewe na Mnafiki na Msaliti Mwingine Kocha Matola na mpaka Msaliti Mwingine Meneja Rweymamu ili kumpa Uhuru na Ufanisi zaidi Kocha Mkuu huyu Mpya Mbrazili Olivieira.

Kocha Msaidizi Mgunda tokea Kocha Mkuu Olivieira atangazwe Simba SC upesi sana 'Body Language' yako nayo ilibadilika na kuanza kuwa na Kiburi, Majungu, Kususia baadhi ya Mambo na Kujitenga katika Ufundishaji na utoaji na Maelekezo.

Anza kujiandaa sasa Kisaikolojia juu ya Nafasi yako hapo Simba SC kama Kocha Msaidizi kwani muda wowote Unanyolewa ila utapoozwa tu Kiaina kwa kupangiwa Majukumu mengine ndani ya Klabu na baadae kabisa watakutafutia Kosa na Kukunyoa kabisa kwani wanajua Wakikunyoa mazima sasa unaweza Kulalamika, Kutoa Siri muhimu za Timu na kuharibu mwenendo wa Ufanisi wa Klabu ya Simba.

Mwisho namalizia kwa Kuulaumu Uongozi wa Simba SC kwani kwakuwa walishajua kuwa wanamleta Kocha Mkuu Mbrazili Olivieira basi walipaswa walifyagie Benchi zima la Ufundi na wamruhusu aje na lake ili akiharibu tutakuwa na Wigo mpana wa Kumlaumu kuliko kuruhusu aje peke yake na afanye Kazi na Wazawa ambao (Wengine tunaishi nao Mitaani mwetu) na tunawajua kuwa ni Mabingwa wa Majungu, Fitna, Uchochezi na hata Ushirikina ili Kocha Mgeni asikae / afukuzwe.

Cc: residentura
Kweli wana Simba hatuna Shukrani
 
Back
Top Bottom