Kocha Juma Mwambusi umeonyesha 'Upuuzi' Usiovumilika na uliovuka Kiwango kumbe ndiyo maana Yanga SC wanakudharau mno

Kocha Juma Mwambusi umeonyesha 'Upuuzi' Usiovumilika na uliovuka Kiwango kumbe ndiyo maana Yanga SC wanakudharau mno

Halafu huyu Daudi Mchambuzi anaona ni sawa tu. Wana Yanga SC wengi IQ zao ni Ndogo mno na ndiyo maana hata Mshabiki wao Wenyewe aliwaita Utopolo ( ambayo kwa lugha ya Kihehe kwa mujibu wake ) unamaanisha Udhaifu / Dhaifu.
Ntibanzokiza hakutaka kuingia Sub, alitaka aanze mwanzo.

Ila angefunga goli pekee na la ushindi labda nyodo zake zingekua na maana, lakin unafunga goli moja kati ya matatu nyodo za nini Sasa?

Au kwa Yanga magoli ni adimu sana kias Cha kwamba ukifunga lazima ujione bonge la shujaa
 
Ntibanzokiza hakutaka kuingia Sub, alitaka aanze mwanzo.

Ila angefunga goli pekee na la ushindi labda nyodo zake zingekua na maana, lakin unafunga goli moja kati ya matatu nyodo za nini Sasa?

Au kwa Yanga magoli ni adimu sana kias Cha kwamba ukifunga lazima ujione bonge la shujaa
Subiria Jumamosi wanavyoenda 'Kupasuliwa' na Azam FC Kwa Mkapa na hapo ndiyo wanaenda 'Kuvurugana' kabisa Ndugu. Amini haya maneno yangu tafadhali.
 
Subiria Jumamosi wanavyoenda 'Kupasuliwa' na Azam FC Kwa Mkapa na hapo ndiyo wanaenda 'Kuvurugana' kabisa Ndugu. Amini haya maneno yangu tafadhali.
Af Sio Jumamosi Ni Jumapili Af Na Km Yanga Isipofungwa Tukufanyaje?
 
Metacha kafiwa na mwanae wiki iliyopita,feisal ana malaria,mkuu kwanini usijikite zaidi kwenye timu yako ya mikia?Yanga ikishinda uwa roho zinawauma pa1 na mafanikio yote mnayopata kimataifa bado mnaona wivu Yanga kuifunga gwambina!
Hatutaridhika, hata mkishuka daraja bado tutaendelea kuwaombea mabaya. Sasa hivi mnataka kuonewa huruma, ila tukiamua kufukua makaburi ya comments zenu juu ya Simba Sc ya miaka ile,mlikuwa wapiga domo sana[emoji23][emoji23]
 
Hatutaridhika, hata mkishuka daraja bado tutaendelea kuwaombea mabaya. Sasa hivi mnataka kuonewa huruma, ila tukiamua kufukua makaburi ya comments zenu juu ya Simba Sc ya miaka ile,mlikuwa wapiga domo sana[emoji23][emoji23]
Na Yanga kamwe aishuki daraja,zama zenu zinakaribia kuisha,nyie endeleeni na roho mbaya yenu siku mo akisepa ndio mtajua hamjui wakati huo sie tayari tushaingia kwenye mabadliko
 
hii ID kama ya GENT....... ila yanga wangeweka upuuzi wao pembeni yawezekana mashabiki wanachosema kuwa viongozi wao changamoto kuna ka ukweli
 
Nlichogundua Simba wanamuogopa sana GSM, posts nyingi humu za mikia ni za kuiponda GSM na kuchochea kuni mfarakano
emoji706.png
GSM hii inayosajili wachezaji wa kuokota!?? Kila mwana simba anaomba GSM aendelee kuwepo ili azma yetu ya kuchukua makombe miaka 10 mfululizo ifanikiwe
 
Halafu huyu Daudi Mchambuzi anaona ni sawa tu. Wana Yanga SC wengi IQ zao ni Ndogo mno na ndiyo maana hata Mshabiki wao Wenyewe aliwaita Utopolo ( ambayo kwa lugha ya Kihehe kwa mujibu wake ) unamaanisha Udhaifu / Dhaifu.
nimeuliza swali jepesi tu, kwanini mashabiki wa simba mnamashambulia kocha msaidizi wa yanga kwa kitendo hicho cha mchezaji kuomba sub baada ya kufunga???

Yani mimi nimeshangaa sanaa mashabiki wa simba mmetokwa mapovu mpaka puani, nini kimewauma namna hii???
 
Wewe mtu Wa mkia tu yani nimesoma pote ulipo Kuja kuaribu ni apo kwa calinho inamana kichwa chako kimekosa hata akil ya kutambua kua calinho ni nzur kuliko fey au simba wamekutuma mmeanza kwa Dula makabila na docter kumbuka mmegeukia yanga polen Sana kila mtu ashinde mech zake kagera suger oyee
UNAOMBEA KILA MTU ASHINDE MATCHES ZAKE? WEWE NI YANGA KWELI?😳😳😳😳😂😂😂😂
 
Back
Top Bottom