Kocha Kim ameingamiza Taifa Stars na Sub zisizo sahihi

Kocha Kim ameingamiza Taifa Stars na Sub zisizo sahihi

Moshi25

JF-Expert Member
Joined
May 6, 2022
Posts
2,555
Reaction score
4,118
Wanabodi

Timu yetu ilicheza vizuri sana. Tuliwamudu kabisa Algeria hadi Dkk ya 40 tukafungwa goli la bahati mbaya la faulo linalofanana kabisa na goli la kwanza Algeria walilowafunga Uganda hivi benchi la ufundi na wachezaji wetu hawakuangalia ile mechi kujifunza upigaji faulo wa Algeria ? Kwanini Manula alienda na akasita si bora angebaki golini au angeenda moja kwa moja kumsumbua yule alieurudisha mpira ndani?

Kwa maoni yangu sub za kocha Kim ndo zimetuangamiza.

Kipindi cha kwanza kinaisha tumeshafungwa kipindi cha pili kinaanza Kim bado unalinda tu kwa kuwa na wakabaji wawili Mzamiru na Novatus , unalinda nini sasa wakati ushafungwa badala ya kuanza kushambulia kwakuwa sasa huna cha kupoteza?

Nilisema kabla timu haina muanzisha mashambulizi kwenye mechi na Niger na mechi na Algeria apangwe Sureboy kuleta muunganiko sote tumeona dakika kumi zake uwanjani Algeria walitafutana!

Kim angemtoa mkabaji Mzamiru mapema sana aingie Sureboy kwenda kushambulia niliesema kuwa aanze mechi ya leo ila ujuaji umemkaa sana Kim wakati sote tunaona wanavyocheza huku vibanda umiza .

Msuva hakuwa fit hakupiga mashuti yake dkk 45 hivi benchi halikuona angetoka mapema aingie Farid mchezaji mzoefu hadi Hispania unamuwekaje benchi? Kibabage mechi ilimshinda sote tuliona angetoka mapema aingie Kibu Denis full stop ungeona kazi mashambulizi mwanzo mwisho.

Nilisema hapo kabla Novatus Dismas ni nguzo katikati asitolewe tutafungwa kwa ujuaji wa benchi wamemtoa ona sasa tumefungwa goli la pili kama nilivyotabiri!

soma hii uzi yangu

"TFF iwaandikie barua CAF kupinga kuchezeshwa mechi zetu za Afcon qualifier na waamuzi wabovu"​

Benchi la ufundi lote halina ufundi wowote wa kuusoma mchezo bora watuachie timu yetu maana mechi ya pili timu imekosa mchezaji wa kupokea mipira toka nyuma na kuipeleka mbele nae ni Sureboy. Sote tumeona mara ngapi Tshabalala anapewa mpira na Mwamnyeto hana wa kumpa kupeleka mbele Tshabalala anarudisha mpira nyuma! Kina Samatta, Msuva na Feisal hakuna wa kuwalisha mipira Mzamiru hajulikani yuko wapi kupokea mipira kutoka nyuma na kupeleka mbele! Benchi la ufundi hamtufanyii haki wabongo.Job na Mwamnyeto wamepata shida sana hizi mechi mbili wamezoea kule kwao Yanga wanapasiana mpira anapewa Sureboy au Aucho ngoma inatupwa mbele Mayele au Feisal anaua! au inaenda kwa Moloko au Kibwana "wanamwaga maji" watu wanaingia nazo!

Huyu kocha Kim hatufai anawachukia wachezaji wa Yanga ambao ni moto msimu huu na kusababisha tutakosa Afcon. Au aliogopa kujaza wachezaji wa Yanga kuepuka kelele za Makolo FC?

Hivi hakuna kina Nabi wengine huko nje muwaite waje watupeleke Afcon tumechoka kuwa kichwa cha Mwendawazimu! Kubadilisha kocha ni jambo la kawaida tu TFF wasione vibaya huyu mzee Kim ameshindwa mbinu mapema tu

Mnawapa sifa kubwa Algeria ni wa kawaida sana tu na leo tuliwamudu sana wametufunga magoli mepesi sana ya bahati mbaya tu na wasingetoka kama Sureboy angeanza na kuleta muunganiko wa wachezaji wa nyuma na wa mbele.

Benchi la ufundi muwe mnachukua mawazo mengine kutoka wazoefu wa vibanda umiza kama sisi tunachowaambia kinatokea uwanjani ila ubishi bado umewajaa.

Ushauri wangu kabla ya mechi wachezaji na benchi la ufundi mkae kutazama mechi mbili za mwisho za timu tunayokutana nayo ili mjue madhaifu yao hakuna timu isiyo na uchochoro hata Real Madrid wanapigika tu ukikaa kutazama wanavyocheza na kujua pa kuwapasua.

Wanabodi mtakumbuka maneno yangu.

"mwananchi" nawasilisha
 
Tukubali Algeria wamedhihirisha ubora wao. Wachezaji wetu wamejitahidi ila wamekutana na quality iliyo amua mchezo.
Kumlaumu kocha Kwa wachezaji tulionao kulinganisha na mpizani wetu ni ku ukosea heshma mpira wetu.
 
kichwa cha mwendawazimu, bora tuibadilishe jina tuiite faru john
 
Msitupigie kelele kwa timu gani mliyonayo wakati mnawaza ushirikina tu!.. hiyo timu ya taifa waivunje tu watengeneze kikoba tujue moja!.
 
Tukubali Algeria wamedhihirisha ubora wao. Wachezaji wetu wamejitahidi ila wamekutana na quality iliyo amua mchezo.
Kumlaumu kocha Kwa wachezaji tulionao kulinganisha na mpizani wetu ni ku ukosea heshma mpira wetu.
Goli la kwanza kipa wetu kasita kumsumbua alierudisha mpira angekuwa Diarra lile sio goli. Goli la pili sababu walimtoa Novatus badala ya Mzamiru
 
Goli la kwanza kipa wetu kasita kumsumbua alierudisha mpira angekuwa Diarra lile sio goli. Goli la pili sababu walimtoa Novatus badala ya Mzamiru
HIV novatus anachezea Klabu ipi
 
Goli la kwanza kipa wetu kasita kumsumbua alierudisha mpira angekuwa Diarra lile sio goli. Goli la pili sababu walimtoa Novatus badala ya Mzamiru
Goli la kwanza hakuna wa kumlaumu, Timu nzima ilikuwepo pale. Lile goli walisha lifanyia mazoezi katika uwanja wa mazoezi.
Angalia mpigaji wa faul alipo u curve mpira usiende golini uende eneo huru alafu Kuna mtu anapita akijua kabisa mpira hauendi golini alafu jamaa anaurudisha kwenye 18 yetu. Jamaa wanavamia goli letu na kufunga.
Nigoli la mipango Sema sisi mashabiki tumelichukulia kama goli la kawaida.

Goli la pili ni counter attack iliyo kubali hakuna namna tulikua out of shape kwenye difence.
 
angefanya hivi badala ya vile

Hapa ndipo watanzania tulipobobea kila muda timu yetu mzigo ikipewa kibano
 
Goli la kwanza kipa wetu kasita kumsumbua alierudisha mpira angekuwa Diarra lile sio goli. Goli la pili sababu walimtoa Novatus badala ya Mzamiru
Ok, Utopolo. Diarra angeziua goli, Bangala angepokea kwa kichwa na kumpsia Aucho, angepiga fyongo na mpira ungetoka nje. Prof Nabi angewaingiza Makambo na Mauya... na mpira ungetoka nje na kuwa goal kick 😔
 
Wanabodi
Timu yetu ilicheza vizuri sana.
Sub za kocha zimetuangamiza.
Kipindi cha pili tumeshafungwa bado unalinda nini badala ya kushambulia sasa huna cha kupoteza?

Angemtoa Mzamiru mapema sana aingie Sureboy niliesema kuwa aanze mechi ya leo ila ujuaji umemkaa wakati sote tunaona wanavyocheza.
Msuva angetoka mapema aingie Farid, Kibabage atoke aingie Kibu full stop ungeona kazi mashambulizi mwanzo mwisho.

Nilisema hapo kabla Novatus Dismas asitolewe wamemtoa ona sasa tumefungwa goli la pili kama nilivyotabiri!

Benchi la ufundi halina ufundi wowote wa kuusoma mchezo watuachie timu yetu.

Huyu kocha Kim hatufai anawachukia wachezaji wa Yanga ambao ni moto na kusababisha tutakosa Afcon. Wanabodi mtakumbuka maneno yangu.

"mwananchi" nawasilisha
Yani kwa akili ya kawaida kabisa kuna mtu alikuwa anadhani hii mechi Taifa Stars ingeshinda? Mini hata drop nilijua hatuwezi kuipata

Kufungwa goli mbili Vijana wetu wamejitahdi sana.

Hawa jamaa walishawahi kutupiga kifurushi cha wiki. Na leo Mahrez hakupangwa.... maana wametudharau sana
 
Umeongea pumba tupu, Kim ameibadilisha sana Stars, hv wewe ulitegemea Leo utashinda kwa Algeria, we kweli popoma
Shangilia Twiga Stars wanaenda weldi kapu huku Taifa Stars sio kwako
 
Goli la kwanza lawama benchi la ufundi na wachezaji hawakuangalia mechi ya Algeria vs Uganda. Goli tulilofungwa ndilo walilofungwa Uganda the same scenario.

Goli la pili walimtoa Novatus katikati ukawa uchochoro.

Wenyewe wanajua nasema ukweli
Goli la kwanza hakuna wa kumlaumu, Timu nzima ilikuwepo pale. Lile goli walisha lifanyia mazoezi katika uwanja wa mazoezi.
Angalia mpigaji wa faul alipo u curve mpira usiende golini uende eneo huru alafu Kuna mtu anapita akijua kabisa mpira hauendi golini alafu jamaa anaurudisha kwenye 18 yetu. Jamaa wanavamia goli letu na kufunga.
Nigoli la mipango Sema sisi mashabiki tumelichukulia kama goli la kawaida.

Goli la pili ni counter attack iliyo kubali hakuna namna tulikua out of shape kwenye difence.
 
Wanabodi

Timu yetu ilicheza vizuri sana. Tuliwamudu kabisa Algeria hadi Dkk ya 40 tukafungwa goli la bahati mbaya la faulo linalofanana kabisa na goli la kwanza Algeria walilowafunga Uganda hivi benchi la ufundi na wachezaji wetu hawakuangalia ile mechi kujifunza upigaji faulo wa Algeria ? Kwanini Manula alienda na akasita si bora angebaki golini au angeenda moja kwa moja kumsumbua yule alieurudisha mpira ndani?

Kwa maoni yangu sub za kocha Kim ndo zimetuangamiza.

Kipindi cha kwanza kinaisha tumeshafungwa kipindi cha pili kinaanza bado unalinda tu, unalinda nini badala ya kushambulia sasa huna cha kupoteza?

Nilisema kabla timu haina muanzisha mashambulizi kwenye mechi na Niger na mechi na Algeria apangwe Sureboy sote tumeona dakika kumi zake uwanjani Algeria walitafutana!

Kim angemtoa mkabaji Mzamiru mapema sana aingie Sureboy kwenda kushambulia niliesema kuwa aanze mechi ya leo ila ujuaji umemkaa sana Kim wakati sote tunaona wanavyocheza huku vibanda umiza .

Msuva hakuwa fit hakupiga mashuti yake dkk 45 hivi benchi halikuona angetoka mapema aingie Farid mchezaji mzoefu hadi Hispania unamuwekaje benchi? Kibabage mechi ilimshinda sote tuliona angetoka mapema aingie Kibu Denis full stop ungeona kazi mashambulizi mwanzo mwisho.

Nilisema hapo kabla Novatus Dismas ni nguzo katikati asitolewe tutafungwa kwa ujuaji wa benchi wamemtoa ona sasa tumefungwa goli la pili kama nilivyotabiri!

soma hii uzi yangu

"TFF iwaandikie barua CAF kupinga kuchezeshwa mechi zetu za Afcon qualifier na waamuzi wabovu"​

Benchi la ufundi lote halina ufundi wowote wa kuusoma mchezo bora watuachie timu yetu maana mechi ya pili timu imekosa mchezaji wa kupokea mipira toka nyuma na kuipeleka mbele nae ni Sureboy. Sote tumeona mara ngapi Tshabalala anapewa mpira na Mwamnyeto hana wa kumpa kupeleka mbele Tshabalala anarudisha mpira nyuma! Kina Samatta, Msuva na Feisal hakuna wa kuwalisha mipira Mzamiru hajulikani yuko wapi kupokea mipira kutoka nyuma na kupeleka mbele! Benchi la ufundi hamtufanyii haki wabongo.Job na Mwamnyeto wamepata shida sana hizi mechi mbili wamezoea kule kwao Yanga wanapasiana mpira anapewa Sureboy au Aucho ngoma inatupwa mbele Mayele au Feisal anaua! au inaenda kwa Moloko au Kibwana "wanamwaga maji" watu wanaingia nazo!

Huyu kocha Kim hatufai anawachukia wachezaji wa Yanga ambao ni moto msimu huu na kusababisha tutakosa Afcon.

Mnawapa sifa kubwa Algeria ni wa kawaida sana tu na leo tuliwamudu sana wametufunga magoli mepesi sana ya bahati mbaya tu na wasingetoka kama Sureboy angeanza na kuleta muunganiko wa wachezaji wa nyuma na wa mbele.

Benchi la ufundi muwe mnachukua mawazo mengine kutoka wazoefu wa vibanda umiza kama sisi tunachowaambia kinatokea uwanjani ila ubishi bado umewajaa.

Wanabodi mtakumbuka maneno yangu.

"mwananchi" nawasilisha
omba hiyo kazi ya ukocha ufundishe wewe
 
Back
Top Bottom