Kocha kimwonekano kabisa anaonekana hamna kitu halafu mnategemea mumfunge Mwarabu kwa Mkapa?

Ila wakafanya comeback wakaingia robo, kama mna ubavu nye vukeni hapa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wkt mwingine unasema ukweli
 
Mkuu upo, nilimisi nyuzi zako humu
 
Nyie mliojaa vichwani mmeanzaje kumpa timu kocha wa fainali ya kombe la loser kwenye mashindano ya wakubwa, msimu huu hata robo hamuingii nyambafu nyie, bora sisi tulikuwa tunatest makundi mwakani tutarudi tumejiandaa hadi fainali.
 
Huyu mbilikimo yupo wapi siku hizi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…