Ila wakafanya comeback wakaingia robo, kama mna ubavu nye vukeni hapaAlways makolo ni wajinga wanashangaa yanga kupata point moja mechi mbili na wanasahau wao msimu uliopita mechi mbili hawakua na point hata moja, mechi ya kwanza walichapwa moja mtungi na Horoya then wakaja wakabakwa mara tatu na mwarabu Raja Casablanca ya Morocco na leo wamesau au ndio kuijizima data
Wkt mwingine unasema ukweliMechi 2, Alama 1, Goli za Kufungwa mpaka sasa ni 4 na uko wa Mwisho katika Kundi halafu bado kabisa mlivyo watupu Vichwani mnatamba mtatoboa hadi Robo Fainali ya CAFCL.
Ukisahau kuwa hata Weekend ijayo tu Watoto wa Hayati Kwame Nkurumah wanaenda Kukupasua Kwao bila ya Huruma na ubakie na hako hako Kaalama tumoja twako.
Hapo POA.Hapo vipi Mzee wa Kawe Mzimuni.View attachment 2834430
Sent from my TECNO B1f using JamiiForums mobile app
Atasema wapinzani wa YANGA wameshuka kiwango.Mzee yanga akifika hyo robo, utasema nini kingine
na mshukuru mayele kuondoka maana siku ile mngepigwa 12 kavu kavu bila kilainishi,Mlimpenda sana mayele badala ya kufikiri nje ya sanduku 'good players have to be handled with precautions'
AaaahaaDomokaya tuchambulie hapaView attachment 2835205
Nakuoga hakataki..🤣Kajitu keusi
Mkuu upo, nilimisi nyuzi zako humuMechi 2, Alama 1, Goli za Kufungwa mpaka sasa ni 4 na uko wa Mwisho katika Kundi halafu bado kabisa mlivyo watupu Vichwani mnatamba mtatoboa hadi Robo Fainali ya CAFCL.
Ukisahau kuwa hata Weekend ijayo tu Watoto wa Hayati Kwame Nkurumah wanaenda Kukupasua Kwao bila ya Huruma na ubakie na hako hako Kaalama tumoja twako.
BMakundi kwa kupitia mgongo wa ZALANI, sio kipimo sahihi.
Nyie mliojaa vichwani mmeanzaje kumpa timu kocha wa fainali ya kombe la loser kwenye mashindano ya wakubwa, msimu huu hata robo hamuingii nyambafu nyie, bora sisi tulikuwa tunatest makundi mwakani tutarudi tumejiandaa hadi fainali.Mechi 2, Alama 1, Goli za Kufungwa mpaka sasa ni 4 na uko wa Mwisho katika Kundi halafu bado kabisa mlivyo watupu Vichwani mnatamba mtatoboa hadi Robo Fainali ya CAFCL.
Ukisahau kuwa hata Weekend ijayo tu Watoto wa Hayati Kwame Nkurumah wanaenda Kukupasua Kwao bila ya Huruma na ubakie na hako hako Kaalama tumoja twako.
Mzee yanga akifika hyo robo, utasema nini kingine
Huyu mbilikimo yupo wapi siku hiziMechi 2, Alama 1, Goli za Kufungwa mpaka sasa ni 4 na uko wa Mwisho katika Kundi halafu bado kabisa mlivyo watupu Vichwani mnatamba mtatoboa hadi Robo Fainali ya CAFCL.
Ukisahau kuwa hata Weekend ijayo tu Watoto wa Hayati Kwame Nkurumah wanaenda Kukupasua Kwao bila ya Huruma na ubakie na hako hako Kaalama tumoja twako.