Dabil
JF-Expert Member
- Sep 30, 2021
- 6,823
- 15,293
Ila wakafanya comeback wakaingia robo, kama mna ubavu nye vukeni hapaAlways makolo ni wajinga wanashangaa yanga kupata point moja mechi mbili na wanasahau wao msimu uliopita mechi mbili hawakua na point hata moja, mechi ya kwanza walichapwa moja mtungi na Horoya then wakaja wakabakwa mara tatu na mwarabu Raja Casablanca ya Morocco na leo wamesau au ndio kuijizima data
Sent using Jamii Forums mobile app