Dabil
JF-Expert Member
- Sep 30, 2021
- 6,823
- 15,293
Katika mahojiano na Kocha wa Yanga Miguel Gamondi amekaririwi akisema sifurahishi na uwanja wa Azam Complex kuwa awanja wa nyumbani, "Hata tukiwa Zanzibar nilisema kuwa sifurahishwi na uwanja wa Azam complex,Azam na Yanga ni derby lolote linaweza kutokea".
Hata hivyo Yanga walijaribu kuomba kucheza mechi yao Benjamin Mkapa,lakini walijibiwa kwamba uwanja wa Benjamin upo kwenye matengenezo.
Hata hivyo Yanga walijaribu kuomba kucheza mechi yao Benjamin Mkapa,lakini walijibiwa kwamba uwanja wa Benjamin upo kwenye matengenezo.