Kocha Mkuu Sven Ven Der Broeck aachana na Simba SC

Kocha Mkuu Sven Ven Der Broeck aachana na Simba SC

We unaona alikuwa na msaada? hakuwa na plan B timu inapoelemewa. Na lile li-formation lake la striker 1 ilikuwa inaboa sana.

Kusema kweli yule 'paka' ametoa support kubwa sana. Hivi unajua hata huyo Patrick Aussems ambaye mashabiki wa Simba wanaona alikuwa 'kocha bora' naye alikuwa 'mweupe' tu asiye na msaada? Simba iliingia robo fainali kwa issue za kipaka paka,na wala si kwa uwezo wake. Ile mechi ya Simba vs Nkana ilikuwa imeshachezwa siku 2 kabla ya game halisi na viongozi wa Simba waliingia kwa Mkapa wakiwa na matokeo, NA NDIVYO ILIVYOKUWA.

Nyinyi watoto wa .com mnaosema zile issue huwa hazina msaada endeleeni kuamini hivyo. DUNIA SI KAMA UIJUAVYO.
Umeandika pumba na ujinga. Simba imeanza kushiriki mashindano ya CAF tangu zamani sana.Sasa jiulize kwa nini hapo zamani simba ilikuwa inashindwa kuingia hatua za makundi? Je ni uchawi ulikuwa unazidiwa na timu wanayokutana nayo knock out stage? Au je ni wachezaji walikuwa hawana viwango?

Ngoja nikuambie Simba imefanikiwa kuingia hatua ya makundi sasa na miaka ya karibuni kutokana na kukutana na timu hasiyopishana nayo viwango knock out stage. Simba hajapishana viwango na nkana au platinum kwa hiyo yoyote kufungwa sio ajabu. Hapo zamani kabla ya 2017 timu zilizokuwa zinaunda makundi zilikuwa 8 na ndio maana ilikuwa ngumu kupenya kwa simba au yanga kutokana na kukutana na mpinzani wa kiwango cha juu knock out stage. Ilikuwa kawaida kupangiwa Esperance , al ahly, zamalek n.k .
Hata ukiangalia matokeo ya head to head kwa mechi za kwenye makundi kati ya simba dhidi ya timu zilizojuu ya viwango(al ahly, as vita) ingekuwa knock out stage simba ingekuwa imetolewa.

Tangu mwaka 2017 CAF waliongeza idadi ya timu kutoka 8 hadi 16 na hii kupelekea timu zisizopishana sana viwango kukutana knock out stage.
Ni mjinga tu atakayeamini Nkana au Platinum atafungwa na simba kwa sababu ya kulogwa na si sababu za kimchezo.
 
Tueleze,kilichomuondoa ni nini?Maana inaonekana unakijua!
Siri ya mafanikio ya Simba ni uwekezaji,mpira hauna ndumba!Ingekuwa hivyo,timu za africa zingeshachukua world cup mara nyingi tu!
kwahiyo kwa vile mmewekeza basi na makocha hawatakiwi ?
 
Hizi timu zetu hazitokuja kuacha uswahili!!Sikatai kuondoka kwa kocha,ila kwanini zisiwekwe sababu hadharani ili kila mshabiki na wadau wengine wa soka wajue.

Amesimamishwa Mkude mpaka leo hatujui ni nini kimesababisha kusimamishwa,anaondoka Kocha hatujui ni ninini kimefanya aondoke,sasa mimi nashindwa kuelewa usasa wa timu yetu uko wapi.

Mshabiki na wadau wengine wa tasnia hii ya soka wanatakiwa waheshimiwe pia kwa kupata taarifa ya kila kinachoendelea hasa kwa masuala ya aina hii ili kuondoa ile sintofahamu ya mda mrefu ambayo huweza kuzalisha mifarakano mbalimbali.
Yani Timu imekuwa ya Mtu binafsi KABISAAA[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] mnaamka mnaambiwa tu huyu kafukuzwaa...yule kasimamishwaa eehe majangaa
 
Tena uongozi wa Simba sc ulichelewa sana kufanya maamuzi haya............Mlitaka astaafu u kocha akiwa au.
 
Wazungu bwanaaa, yaani anaondoka huku yuko kwenye peak kimafaniko, very good strategy...
 
Ila mashabiki wa soka sijui huwa wanataka nini hasa? Yaani % kubwa ya mashabiki na viongozi wa Simba hawamkubali huyu kocha (uwezo wake ni mdogo) ila leo hao hao wanakuja kumtetea hapa? Hivi hawa ni mashabiki wa Simba kweli au wa Utopolo ambao wanajua uwepo wake pale Simba una faida kwa Utopolo?

Hata kwenye mechi ya juzi ya Simba vs Platinum kulikuwa na mzozo mkali kwenye benchi la ufundi. Walimtaka kocha afanye sub haraka second half ili Simba iipress Platinum na hivyo ipate matokeo haraka, yeye akawa mbishi. Hivi kwa mfano;Chris Mugalu alikuwa anafanya nini mle uwanjani? Kocha akishauriwa na wenzake anakuwa mbishi kinoma. Ndo maana kuna wakati benchi la ufundi walianza kuzinguana. Kocha alivyokubali sub zifanyike (kwa shingo upande lakini) kila mtu aliona faida ya sub zile. Halafu kuna wajinga humu wanamtukana Matola kwamba amemfanyia futna mzungu pori. Mngejua jinsi Matola alivyokuwa msaada kwenye ile game msingefungua mabakuli yenu kumlaumu.

Kila mtu uwanjani alitaka sub ifanyike, kwenye vibanda umiza hali ilikuwa hivyo hivyo. Na huyo Kocha hapendagi kushauriwa.Ye ni nani asishauriwe? Mechi kibao za VPL ameendekeza huo upuuzi wake. MI NASEMA AKWENDREEE ZAKE, ANAYEMTAKA AENDE NAYE HUKO AENDAKO.
Duuh !
 
Yani Timu imekuwa ya Mtu binafsi KABISAAA[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] mnaamka mnaambiwa tu huyu kafukuzwaa...yule kasimamishwaa eehe majangaa
Utopolo kwanini mnateseka na Simba?Mmefukuza makocha wangapi mpaka sasa?
 
Yani Timu imekuwa ya Mtu binafsi KABISAAA[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] mnaamka mnaambiwa tu huyu kafukuzwaa...yule kasimamishwaa eehe majangaa
wewe ulitakaje uitwe ushauriwe au
 
Kwa nilichokisikia mimi ni kwamba kocha wa simba amepata big deal la kufundisha kilabu fulani kwa offer ya mshahara mkubwa zaidi lakini sio kama kuna missing understand baina ya kocha na viongozi au wachezaji
Na ndomana hata bodi ya wakurugenz haijakaa kujadili na kwenye hiyo taarifa utaona wameandika kocha ataendelea kua mwana familia wa simba maana yake si kwaubaya
 
We unaona alikuwa na msaada? hakuwa na plan B timu inapoelemewa. Na lile li-formation lake la striker 1 ilikuwa inaboa sana.

Kusema kweli yule 'paka' ametoa support kubwa sana. Hivi unajua hata huyo Patrick Aussems ambaye mashabiki wa Simba wanaona alikuwa 'kocha bora' naye alikuwa 'mweupe' tu asiye na msaada? Simba iliingia robo fainali kwa issue za kipaka paka,na wala si kwa uwezo wake. Ile mechi ya Simba vs Nkana ilikuwa imeshachezwa siku 2 kabla ya game halisi na viongozi wa Simba waliingia kwa Mkapa wakiwa na matokeo, NA NDIVYO ILIVYOKUWA.

Nyinyi watoto wa .com mnaosema zile issue huwa hazina msaada endeleeni kuamini hivyo. DUNIA SI KAMA UIJUAVYO.
Basi kwa mtindo huo mganga wao mzuri sana msimu huu watabeba Epl,FA na klabu bingwa Africa
 
Unaandika upuuzi.

Kiswahili chenyewe shida kuandika.
We mpuuzi hivi Deus Kaseke alienda kukagua nini kwenye lango la Prison kama hapo Utopoloni hamuamini ushirikina pia?

Na kama ushirikina hauna nafasi kwenye soka ilikuwaje Kelvin Yondani akomae na 'ile kitu' aliyokuwa amevaa Meddie Kagere siku ile ya Simba vs Yanga? Yaani Yondani alikuwa anapanic kwa kitu ambacho hakina madhara?

Jambo jingine;ulifatilia masimulizi ya KITWANA MANARA,mchezaji mahiri wa zamani wa Yanga,kuhusiana na kile walichokifanya viongozi wa Yanga kwenye ile battle ya kihistoria ya Yanga vs Simba iliyofanyika mwaka 1977 (kama siyo 1976) pale Uwanja wa Nyamagana,Mwanza?

Unajua ni kwanini makomandoo (wa timu zote za VPL, ila hasa zile za Kariakoo) huwa wanalinda sana viwanja kabla na wakati wa mechi za timu zao kwa masaa yote?

We sijui hata 'chandimu' au 'ndondo' kama umewahi kucheza. You totally know nothing.
 
Simba idara yake ya mawasiliano kwa Umma ina shida si bure. Juzi mmesababisha taarifa ya kufungiwa Mkude ilete sintofahamu baada ya kukosa 5W+H, Leo mmerudia tena taarifa ya kuachana na Sven kwa kutoa taarifa inayoelea elea tu.

Mnaficha nini kuwaambia wanachama na wapenzi wenu waliojaa nchi nzima sababu ya kueleweka kwa nini mnaachana na kocha aliyewafikisha pazuri?
Tatizo sio tu idara ya mawasiliano hata bodi ni shida kitendo cha kocha kujadiliana na ceo na mo badala ya bodi kinaonyesha mapungufu makubwa ya uongozi
 
Back
Top Bottom