Kocha mkuu Yanga sc Nabi kutimuliwa raundi ya kwanza ya msimu

Kocha mkuu Yanga sc Nabi kutimuliwa raundi ya kwanza ya msimu

Expensive life

JF-Expert Member
Joined
May 2, 2020
Posts
2,971
Reaction score
9,437
Najua kuna watakao nibeza ila msimu unaokuja utakuwa mgumu sana kwa Nabi, kutokana na usajili walioufanya Yanga Africa wana matumaini makubwa sana yakufanya vizuri kwenye na caf champions league.

Viongozi na mashabiki wa Yanga wanatamani kuona timu yao msimu unaokuja kwenye caf champions league na wao japo wafike robo fainal kama watani zao au kuvuka hatua hiyo zaidi.

Endapo Nabi akishindwa kuivusha Yanga hatua ya awali inayotarajiwa kuanza mwezi wa nane hapo hakuna atakaye mvumilia licha ya kuwapa mataji msimu huu.

Nb: mpaka sasa Yanga bado hawajaanza maandalizi kuelekea msimu unaokuja. Rai yangu kumbukeni mnaanzia hatua ya awali.
AE5E5D4A-0E8C-4D06-9298-9EAB412C5661.jpeg
 
Rais wa Yanga amesha toa tamko, Ligi ya Nyumbani tutaendelea kubeba makombe ila Caf champion league tutakwenda Kwa hatua, hatutegemei kufanikiwa Kwa haraka ni swala linalo itaji uwekezaji na muda.
Kwa kauli iyo kocha Yuko salama.
 
Rais wa Yanga amesha toa tamko, Ligi ya Nyumbani tutaendelea kubeba makombe ila Caf champion league tutakwenda Kwa hatua, hatutegemei kufanikiwa Kwa haraka ni swala linalo itaji uwekezaji na muda.
Kwa kauli iyo kocha Yuko salama.

KOMBE LA LIGI hamuwezi kulibeba msimu ujao. Amini usiamini!!

Wala tusibishane, tusubiri muda utathibitisha au utaniumbua!!
 
Rais wa Yanga amesha toa tamko, Ligi ya Nyumbani tutaendelea kubeba makombe ila Caf champion league tutakwenda Kwa hatua, hatutegemei kufanikiwa Kwa haraka ni swala linalo itaji uwekezaji na muda.
Kwa kauli iyo kocha Yuko salama.

Ongezea hapo.

Rais amesema tutabeba kwa miaka 10 mfululizo.
 
Najua kuna watakao nibeza ila msimu unaokuja utakuwa mgumu sana kwa Nabi, kutokana na usajili walioufanya Yanga Africa wana matumaini makubwa sana yakufanya vizuri kwenye na caf champions league.

Viongozi na mashabiki wa Yanga wanatamani kuona timu yao msimu unaokuja kwenye caf champions league na wao japo wafike robo fainal kama watani zao au kuvuka hatua hiyo zaidi.

Endapo Nabi akishindwa kuivusha Yanga hatua ya awali inayotarajiwa kuanza mwezi wa nane hapo hakuna atakaye mvumilia licha ya kuwapa mataji msimu huu.

Nb: mpaka sasa Yanga bado hawajaanza maandalizi kuelekea msimu unaokuja. Rai yangu kumbukeni mnaanzia hatua ya awali.View attachment 2293462
Unapotumia mku ndu kuwaza matokeo ni haya
 
Back
Top Bottom