Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mifumo ya italia hio tutawakanda nyingi sanaLeo kipara ngoto anasepa.
View attachment 3116616
Huyo kipara ametucost sana.Leo kipara ngoto anasepa.
View attachment 3116616
Duh! Ila owners wa Man U sijui wamarekani wale wana uvumilivu wa ajabu kwa huyu kipara. Ila leo akipoteza wanamtema.Huyo kipara ametucost sana.
Naomba kipara apigwe hakuna namna.Duh! Ila owners wa Man U sijui wamarekani wale wana uvumilivu wa ajabu kwa huyu kipara. Ila leo akipoteza wanamtema.
Akiwa na machi za hivi huwa anashinda.Duh! Ila owners wa Man U sijui wamarekani wale wana uvumilivu wa ajabu kwa huyu kipara. Ila leo akipoteza wanamtema.
Ten Hag ni funzo kwa makocha wengine, mmeharibu hela nyingi kununua wachezaji wengi ambao hawana umuhimu, kila msimu mnasajili kwa bei mbaya, alitaka wachezaji wake wa ajax akapewa lakini wapi! eti Antony Euro 80M, wachezaji anaosajili hawana chemistry, wachezaji wametofautiana mpira, hata hajui wachezaji anaowataka, hivi hao mascout wa ManU hawamshauri?Kweli kabisa, He should be dropped , mtu ana 25+yrs eti bado anajitafuta aaah wapi.