Tusije tukamsikia tu yuko NamungoRASMI: Kocha mpya wa klabu ya Yanga ni Zlatko Krmpotic, raia wa Serbia ambaye ameingia makubaliano ya mkataba wa miaka miwili kuitumikia klabu hiyo. Kocha huyo anatarajiwa kuwasili kesho jijini Dar es Salaam tayari kwa kushiriki kilele cha #WikiYaMwananchi
Duh umewapatia kweli watopolo"Ukikosa kware mawindoni, rudi hata na bundi". Uto kama uto!!
Kumbe kama hivyo amekuja mahali sahihi.Pia aliko toka amepigwa match 5 mfululizo na game ya mwisho kapigwa goal 5
Huyu ni kocha wa yanga au ccm?RASMI: Kocha mpya wa klabu ya Yanga ni Zlatko Krmpotic, raia wa Serbia ambaye ameingia makubaliano ya mkataba wa miaka miwili kuitumikia klabu hiyo. Kocha huyo anatarajiwa kuwasili kesho jijini Dar es Salaam tayari kwa kushiriki kilele cha #WikiYaMwananchi
Nyie ndiyo matapeli wa GSM wamewashika makalioni mnaenda kuchomeshwa mahindi airport kusubiri hewa si uboya huo.Sasa nyie mbumbumbu FC kama Yanga wamepata kocha asiye na viwango nyie si ndio mfurahie mbona kama mna panic? Mtahangaika sana safari hii GSM amewashika sehemu sahihi kabisa.
Yuko BunjuCedric Kaze tutakumiss sana
WoiYuko Bunju
Tunawahurumia sana tunapowafunga magoli mengi kwa aibu.Sasa nyie mbumbumbu FC kama Yanga wamepata kocha asiye na viwango nyie si ndio mfurahie mbona kama mna panic? Mtahangaika sana safari hii GSM amewashika sehemu sahihi kabisa.
View attachment 1550509
Uzuri wake ana kisingizio cha maana kwamba yeye hajafanya usajili. Wachezaji kawakuta tu
Namba yako ya kadi ya mikia, pleaseMimi ni shabiki nguli wa Yanga lakini kwa huyo kocha kwa kweli tumepigwa.
Kwani mbona mnatoa povu kwa mambo yasiyowahusu?Wamepata kocha kulingana na hela yao mkuu.
Kocha ambaye yuko serious na career yake hawezi kwenda Yanga tu.
Cc Shadeeya
Povu umeona wapi sisi tunawashangaa mmepigwa.Kwani mbona mnatoa povu kwa mambo yasiyowahusu?
Sasa Kama tumepigwa nyie inawahusu Nini?!Povu umeona wapi sisi tunawashangaa mmepigwa.
Tunawahurumia sanaSasa Kama tumepigwa nyie inawahusu Nini?!
Kwanini mtuhurumie sisi?! Jihurumieni wenyewe ninyi na vizazi vyenu..Tunawahurumia sana
Sisi tujihurumie kwa lipi tunapiga tuKwanini mtuhurumie sisi?! Jihurumieni wenyewe ninyi na vizazi vyenu..
Hivyo hivyo kwa kupiga tu mjihurumie ninyi na vizazi vyenu vijavyoSisi tujihurumie kwa lipi tunapiga tu