Kocha mpya wa Yanga ni Zlatko Krmpotic

Kocha mpya wa Yanga ni Zlatko Krmpotic

"Ukikosa kware mawindoni, rudi hata na bundi". Uto kama uto!!
Duh umewapatia kweli watopolo
FB_IMG_1598022216429.jpg
 
Sasa nyie mbumbumbu FC kama Yanga wamepata kocha asiye na viwango nyie si ndio mfurahie mbona kama mna panic? Mtahangaika sana safari hii GSM amewashika sehemu sahihi kabisa.
Nyie ndiyo matapeli wa GSM wamewashika makalioni mnaenda kuchomeshwa mahindi airport kusubiri hewa si uboya huo.
 
Back
Top Bottom