OMOYOGWANE
JF-Expert Member
- Dec 30, 2016
- 4,701
- 11,920
Naomba niwe mtu wa kwanza kutofautiana na wengi wanaomponda kocha RAMOVIC.
Ni kawaida kwa kocha yeyote mpya kupoteza mechi ya kwanza japokuwa sio makocha wote.
Uchebe mwanzoni mwa pre season alikuwa anafungwa mpaka na Dodoma jiji kwenye friend match, pia Al Hilal ilimkanda kwenye CECAFA, Kocha Rachid Touasi naye alipoteza mechi yake ya kwanza dhidi ya simba.
Gamond pia alichezea kichapo cha mbwa koko kule Algeria dhidi ya CR BELOUZDAD licha ya Yanga kumiliki mpira kuliko CRB.
YANGA YA MJERUMANI INA FALSAFA GANI?
Yanga ya mjerumani falsafa yake ni soka safi pasi laki tano, pia kujilinda kwa kumiliki mpira.
Mechi ya kwanza niliiona namna ambavyo Yanga ilimiriki mpira hapakuwa na butua butua wala pasi ya kupiga mpira wa juu.
Wachezaji wengi wa Yanga walionekana kutokuwa na speed sababu falsafa ya kocha ni mpya hawajaizoea. Unaona kabisa sehemu ya kupiga counter atack mchezaji hapigi pasi ndefu ya juu badala yake anapiga pasi fupi ila mpira mpaka unapenyezwa kwa mshambuliaji (Dube) tena kwa kupenya kati kati ya box kabisa.
Beki Bacca na Job wanaonekana kutokumaster vizuri falsafa ya kocha unaona kabisa wanapiga pasi lakini ndefu mpinzani anauwahi mpira na kutaka kuishambulia Yanga.
Kibabage na Yao wanapanda sana mbele wanaacha nafasi kwenye mbavu za uwanja sababu wamezoea kusaidiwa kazi na wachezaji wenye tabia za kiungo mkabaji kama Max nzengeli.
Max Nzengeli anaonekana hafati falsafa ya kocha anapiga mashuti hovyo kama kawaida yake kocha anaamua kumtoa nje.
Sababu ya Yanga kupoteza ni moja tu, wachezaji hawajazoea falsafa ya kocha.
KWANINI RAMOVIC NI HATARI KULIKO GAMOND
Sababu ni moja tu, endapo ataanza kupata Goli na anajilinda kwa kumiliki mpira, moinzani atalazimika kufunguka na atataka kupishana na Yanga uwezekano wa kupigwa goli nyingi ni asilimia 99%
Usiombe Yanga ya Ramovic ikutangulie kukufunga utajuta. Ila ukiitangulia kuifunga utaifunga goli nyingi kama unawashambuliaji wazuri.
Msije kusema OMOYOGWANE Ahakusema enyi wachambuzi wa mitandaoni mliojaa mihemuko.
Nawasilisha
Ni kawaida kwa kocha yeyote mpya kupoteza mechi ya kwanza japokuwa sio makocha wote.
Uchebe mwanzoni mwa pre season alikuwa anafungwa mpaka na Dodoma jiji kwenye friend match, pia Al Hilal ilimkanda kwenye CECAFA, Kocha Rachid Touasi naye alipoteza mechi yake ya kwanza dhidi ya simba.
Gamond pia alichezea kichapo cha mbwa koko kule Algeria dhidi ya CR BELOUZDAD licha ya Yanga kumiliki mpira kuliko CRB.
YANGA YA MJERUMANI INA FALSAFA GANI?
Yanga ya mjerumani falsafa yake ni soka safi pasi laki tano, pia kujilinda kwa kumiliki mpira.
Mechi ya kwanza niliiona namna ambavyo Yanga ilimiriki mpira hapakuwa na butua butua wala pasi ya kupiga mpira wa juu.
Wachezaji wengi wa Yanga walionekana kutokuwa na speed sababu falsafa ya kocha ni mpya hawajaizoea. Unaona kabisa sehemu ya kupiga counter atack mchezaji hapigi pasi ndefu ya juu badala yake anapiga pasi fupi ila mpira mpaka unapenyezwa kwa mshambuliaji (Dube) tena kwa kupenya kati kati ya box kabisa.
Beki Bacca na Job wanaonekana kutokumaster vizuri falsafa ya kocha unaona kabisa wanapiga pasi lakini ndefu mpinzani anauwahi mpira na kutaka kuishambulia Yanga.
Kibabage na Yao wanapanda sana mbele wanaacha nafasi kwenye mbavu za uwanja sababu wamezoea kusaidiwa kazi na wachezaji wenye tabia za kiungo mkabaji kama Max nzengeli.
Max Nzengeli anaonekana hafati falsafa ya kocha anapiga mashuti hovyo kama kawaida yake kocha anaamua kumtoa nje.
Sababu ya Yanga kupoteza ni moja tu, wachezaji hawajazoea falsafa ya kocha.
KWANINI RAMOVIC NI HATARI KULIKO GAMOND
Sababu ni moja tu, endapo ataanza kupata Goli na anajilinda kwa kumiliki mpira, moinzani atalazimika kufunguka na atataka kupishana na Yanga uwezekano wa kupigwa goli nyingi ni asilimia 99%
Usiombe Yanga ya Ramovic ikutangulie kukufunga utajuta. Ila ukiitangulia kuifunga utaifunga goli nyingi kama unawashambuliaji wazuri.
Msije kusema OMOYOGWANE Ahakusema enyi wachambuzi wa mitandaoni mliojaa mihemuko.
Nawasilisha