Kocha mpya wa Yanga Sead Ramovic ni hatari zaidi kuliko Gamond baada ya mechi tano zijazo mtamsahau Gamond

Kocha mpya wa Yanga Sead Ramovic ni hatari zaidi kuliko Gamond baada ya mechi tano zijazo mtamsahau Gamond

Side aiua TP MAZEMBE
Side akifanikiwa kwenda quarter final ndio heshima yake itapatakina, otherwise hakuna kipya anachofanya cha kusema ni zaidi ya Gamondi.

Nafasi ya kwenda quarter finals inawezekana lakini sio rahisi.
 
Side akifanikiwa kwenda quarter final ndio heshima yake itapatakina, otherwise hakuna kipya anachofanya cha kusema ni zaidi ya Gamondi.

Nafasi ya kwenda quarter finals inawezekana lakini sio rahisi.
Binafsi mimi sitamlaumu kocha kwa timu kama ikishindwa kwenda robo fainali, bali wachezaji wamekuwa wanapoteza sana nafasi za magoli hasa Aziz Ki na Dube
 
Binafsi mimi sitamlaumu kocha kwa timu kama ikishindwa kwenda robo fainali, bali wachezaji wamekuwa wanapoteza sana nafasi za magoli hasa Aziz Ki na Dube
Yaani Aziz Ki ndo ovyo kabisa.
 
Maneno mingi sitaki kusikia, ninataka kuona dozi ya tano tano inarudi tena.Nabi aliwajenga wachezaji discipline sana ikawa ndiyo siri ya mafanikio yao. Gamondi aliwaharabu wachezaji wakapoteza discipline kabisa ndiyo maana unaona viwango vimeshuka kwa sababu ya kutumia nguvu nyingi sana nje ya uwanja. Ramovic anatakiwa airudishe ile discpline ya mwanzo aliyoacha Nabi
Gamondi amekaa yanga kwa muda gani? Mafanikio yake yalikuwaje? Kulikuwa na nidhamu kipindi hiko ama lah?
 
Unaujua mpira haya ulinena mapema sana..
Nachokiona kwa sasa ni yeye Ramovic kuboresha eneo lake la ulinzi hili litakua jambo muhimu sana na ataifanya Young kua tishio mno..
 
Unaujua mpira haya ulinena mapema sana..
Nachokiona kwa sasa ni yeye Ramovic kuboresha eneo lake la ulinzi hili litakua jambo muhimu sana na ataifanya Young kua tishio mno..
Wanakubali kiaina moyoni mwao
IMG_20250105_101711.jpg
 
Back
Top Bottom