Digital Ticha
Senior Member
- Jun 16, 2023
- 110
- 169
Side akifanikiwa kwenda quarter final ndio heshima yake itapatakina, otherwise hakuna kipya anachofanya cha kusema ni zaidi ya Gamondi.Side aiua TP MAZEMBE
Binafsi mimi sitamlaumu kocha kwa timu kama ikishindwa kwenda robo fainali, bali wachezaji wamekuwa wanapoteza sana nafasi za magoli hasa Aziz Ki na DubeSide akifanikiwa kwenda quarter final ndio heshima yake itapatakina, otherwise hakuna kipya anachofanya cha kusema ni zaidi ya Gamondi.
Nafasi ya kwenda quarter finals inawezekana lakini sio rahisi.
Yaani Aziz Ki ndo ovyo kabisa.Binafsi mimi sitamlaumu kocha kwa timu kama ikishindwa kwenda robo fainali, bali wachezaji wamekuwa wanapoteza sana nafasi za magoli hasa Aziz Ki na Dube
Gamondi amekaa yanga kwa muda gani? Mafanikio yake yalikuwaje? Kulikuwa na nidhamu kipindi hiko ama lah?Maneno mingi sitaki kusikia, ninataka kuona dozi ya tano tano inarudi tena.Nabi aliwajenga wachezaji discipline sana ikawa ndiyo siri ya mafanikio yao. Gamondi aliwaharabu wachezaji wakapoteza discipline kabisa ndiyo maana unaona viwango vimeshuka kwa sababu ya kutumia nguvu nyingi sana nje ya uwanja. Ramovic anatakiwa airudishe ile discpline ya mwanzo aliyoacha Nabi
Wanakubali kiaina moyoni mwaoUnaujua mpira haya ulinena mapema sana..
Nachokiona kwa sasa ni yeye Ramovic kuboresha eneo lake la ulinzi hili litakua jambo muhimu sana na ataifanya Young kua tishio mno..