Kocha Mwambusi: Kitendo alichokifanya Ntibazonkiza ni furaha ya kufunga goli

Kocha Mwambusi: Kitendo alichokifanya Ntibazonkiza ni furaha ya kufunga goli

Huyu ndugu yangu alifanywa Mfalme pale akawa mkubwa kuliko Klabu.
Wenziwe wakiwa mazoezini yeye anachoma nyama na mabosi sambamba na madalali kina Nugaz.

Anatajwa zaidi na kupambwa kuliko wale Punda kina Kaseke wenye kufia Timu.

Akiwa kwenye timu anaumwa kila siku na anachagua mechi za kucheza akiitwa Burundi anakwenda kuichezea Team ya Taifa.

Mwana umleavyo ndivyo akuavyo.

Tukubaliane tu Saidoo Ntibanzonkiza ni Mkubwa kuliko Klabu ya Yanga.

Saidoo ametuonyesha Yale Makundi yanayojificha ndani ya Yanga
Yanga kuna makundi ya wachezaji kwa wachezaji
Wachezaji na Viongozi
Viongozi na Wanachama
Wanachama na Mashabiki
Mashabiki na wadau.

Msipobadilika na kujenga nidhamu kati yenu itawachukuwa miaka Dahali kupata mafanikio ambayo mtani wenu wa Jadi Simba anaendelea kupiga nayo hatua.

Umamani Kwangu kule kwa Wazaramo husema
"Mwana umlilelile Mkulu Miyago"

@Kaba2021
 
Wataalam wa mambo njooni mtujuze....
Anaforce kupata ufalme na hali MTU wa kawaida tu. Ila kaonyesha utovu wa nidhamu wa hali ya juu kwa kocha wake.
Ukiangalia game mbili zilizopita alikuwa anademka tu uwanjani, ndo maana mwambusi alimtia benchi.
 
UPDATE
Kama kuna yaliyo nyuma ya hapo basi labda tutayajua baadae lakini kwa hili la ntibazokisa kwa nilizozipata
Tatizo lilianzia mazoezini,inasemekana kuna kipindi saidi alikosea maelekezo ya mwalimu na mwalimu akamfokea "huna akili wewe" sasa mbaya zaidi inasemekana baada ya Said kuwemo katika mpango wa first eleven,mambo yakaja badilika siku ya mchezo alipoambiwa saidi utaanzia sub.....
Hata sub yake kaja ingizwa baada ya kuumia kisinda
Kitendo cha Saidor kimeetuumiza wengi akiwemo Kaseke aliyeonyesha hasira za wazi kwa mambo aliyoyafanya mwalimu kupelekea kumkera said
Ikumbukwe baada ya goli la 3 Kaseke alikua mmoja wa wachezaji waliomkumbatia said kwa furaha kubwa...

Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
 
hata ukiangalia uso wa kocha Juma mwambusi baada ya kitendo Cha Saidoo na kaseke hakua mwenye furaha....
Mchezaji akuambie huna akili..Hapo furaha itatoka wapi kwa Mwambusi
 
Daaah Kuna shida mahali.

Sir Alex Ferguson aliwahi kutuambia hakuna mchezaji mkubwa kuliko Timu.

Naamini uongozi utamuonya kama sio kumchukulia hatua.
Huyu faza sometimes nilikua nakubali Sana filosofa zake ....

Ningekua kocha huyu ntibazonkiza sijui ,asingecheza mechi yoyote wala hata kukaa benchi tena mpaka aombe msamaha Kwa kitendo chake ... kwa benchi la ufundi,klabu na mashabiki ....
 
Kaimu Kocha Mkuu wa Yanga SC Juma Mwambusi, amesema kwamba kitendo alichokifanya mchezaji wake Saido Ntibazonkiza kwenye mchezo dhidi ya Gwambina FC ni kutokana na furaha ya kufunga goli kwasababu hakufunga katika mechi mbili zilizopita.

"Ntibazonkiza alikuwa anafurahia kupata goli kwasababu mechi mbili zimempita alitoka bila kufunga goli". Amesema Mwambusi.
Kwani huyu alipokewaje eapoti?
 
Leo nilivutiwa na uchezajibwa Carlinhos katika nafasi yake ya Deeplying Playmaker, hakika ameitendea haki japo aliishiwa na pumzi dakika 15 za mchezo
Calinyo sema lioga sana lile dogo ila kwa passing accuracy nampa 100
 
Back
Top Bottom