Kocha Mwinyi Zahera aitwa Kamati ya Maadili kwa kukosa nidhamu

Waliomwita ndo wanafiki hawataki kukosolewa
 
Acha wao wamsajili kama wanampenda sana maana saiz yupo huru
 

Nilichosea ni nini? Huyu kocha wenu mnasema ni msemakweli, je Kakolanya hakuwa anasema kweli?

Usaliti ni koti la kuwavika wapigania haki zao. Kama kweli Zahera ni msema kweli asingeweza kuadhibu mtu anayedai chake.
 
Mpira wa kibongo wa kiduanzi saaana. Tutabaki tunachezea matope hapa hapa. TFF wanafanya kazi kwa mihemko ya mtu? Ni wazi wamewaita kocha wa Yanga na wa mbeya kwa ksbb shinikizo la mropokaji manara. Wanafanya kazi za watu wengine,sio kazi wanazotakiwa kufanya,hawafanyii kazi kile wanachokiona wao. Manara akiropoka wanatetemeka. Je kila timu ikipata ikipata mropokaji kama manara TFF si watawehuka kabisa hawa? Watanzania msitarajie mpira wa kibongo kubadirika kwa style za akina haji manara kuropoka na TFF kuwaita wale manara alitaka waitwe. Tutasubiri saaaana
 
Kwani hujui aliyepindisha ubingwavwa Yanga?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…