Kocha Nabi ajiunga na Club ya Far Rabat ya Morroco

Kocha Nabi ajiunga na Club ya Far Rabat ya Morroco

Kwani zile za Sawadogo na Okwa si nimekuletea reference mbona ulikiwa mgumu kuto kuamini.

Hivi una elewa funga na fungua semi kwenye uandishi wa habari zina maanisha nini au husomagi magazeti? Wasafi wameripoti alicho kilipoti mchezaji na ndio maana unaona funga na fungua semi, hamna tetesi bali ni habari kamili kutoka kwenye source yenyewe ambayo ni mchezaji amesema.

Nimeanza kuwasemea Simba lini wakati wachezaji wao ndio waliosema.Swala sijui kuchukua mda gani si fahamu ila ninacho fahamu Okwa,Sawadogo na Quattara wanawadai Simba.
Kwa hiyo katika mabaya yote ya Simba, la uchelewashaji wa malipo ya wachezaji walioachwa tena wakati dirisha bado halijafungwa ndiyo unaliona hadi unaliibua katika mada isiyohusika?
 
Kwa hiyo katika mabaya yote ya Simba, la uchelewashaji wa malipo ya wachezaji walioachwa tena wakati dirisha bado halijafungwa ndiyo unaliona hadi unaliibua katika mada isiyohusika?
Hii habari sijaiibua ipo labda ww mahaba yako kwa Simba umekufanya usiisikie.

Kwani ulivyo reply comments kile nilicho kiandika kiliendana na mada hii?
Screenshot_20230718_160811_Chrome.jpg
 
Hii habari sijaiibua ipo labda ww mahaba yako kwa Simba umekufanya usiisikie.

Kwani ulivyo reply comments kile nilicho kiandika kiliendana na mada hii?
Mada inahusiana na Nabi kupata timu, huyo jamaa akasema anaweza kuondoka na watu, wewe umekuja kuibua ishu ya kile unachoita madeni wanayodai wachezaji wa Simba walioachwa. Anyway, siyo ishu kivile. Dirisha likifungwa ukasikia hao wachezaji wako pendwa kina Okwa wameenda CAF au FIFA kuishitaki Simba ndiyo utakuwa na hoja, bila hivyo tutafute kingine cha kuisema Simba. Embu tudiskasi kwanini Mo hajaweka ile bilioni 20 😀😀😀
 
Mada inahusiana na Nabi kupata timu, huyo jamaa akasema anaweza kuondoka na watu, wewe umekuja kuibua ishu ya kile unachoita madeni wanayodai wachezaji wa Simba walioachwa. Anyway, siyo ishu kivile. Dirisha likifungwa ukasikia hao wachezaji wako pendwa kina Okwa wameenda CAF au FIFA kuishitaki Simba ndiyo utakuwa na hoja, bila hivyo tutafute kingine cha kuisema Simba. Embu tudiskasi kwanini Mo hajaweka ile bilioni 20 😀😀😀
Ila ukasahau kipya ulicho kianzisha ww,ndio maana nikakuwea screenshot ila kama umejitoa ufahamu kwa ulicho kicomment sawa.
 
Ila ukasahau kipya ulicho kianzisha ww,ndio maana nikakuwea screenshot ila kama umejitoa ufahamu kwa ulicho kicomment sawa.
Sasa kipya kivipi wakati wewe uliandika mnachotaka ni pesa na mimi nikakujibu mtapata pesa ya udalali? Utasemaje nimeleta kitu kipya bwashee? Embu tutafute makandokando mengine ya Simba mkuu
 
Sasa kipya kivipi wakati wewe uliandika mnachotaka ni pesa na mimi nikakujibu mtapata pesa ya udalali? Utasemaje nimeleta kitu kipya bwashee? Embu tutafute makandokando mengine ya Simba mkuu
Sasa dalali kafata nini kwenye thread hii?

Mimi sitafuti makandokando yenu kwani walio ndani ya Simba ndio wanayo ya ongea, kwani hili la Mo la juzi limeletwa na mimi au na MO, hili la madeni ya Sawadogo, Okwa limeletwa na mimi au wahusika.

Yaani source ni nyinyi wenyewe unaanza kutulaumu sisi wengine jifunzeni kuya maliza mambo yenu ndani kwa ndani,mkiyaongea mnatupa faida.

Ndio maana na kupa na reference source ni mmoja wenu ndani ya Kolo FC.
 
Rizki ya mtu haiwezi kuzuiwa na mwanadamu milele. Kuna watu walimpigia fitna kwa Kaizer, mchongo wake ukaungua sasa karudi kwa waarabu wenzake halafu mara paah Rabat wanapangwa na puyanga
UjaUzito unanukia kwa uliowataja ikitokea.
 
Sasa dalali kafata nini kwenye thread hii?

Mimi sitafuti makandokando yenu kwani walio ndani ya Simba ndio wanayo ya ongea, kwani hili la Mo la juzi limeletwa na mimi au na MO, hili la madeni ya Sawadogo, Okwa limeletwa na mimi au wahusika.

Yaani source ni nyinyi wenyewe unaanza kutulaumu sisi wengine jifunzeni kuya maliza mambo yenu ndani kwa ndani,mkiyaongea mnatupa faida.

Ndio maana na kupa na reference source ni mmoja wenu ndani ya Kolo FC.
Tuko huru kuyaongelea ya kwetu kwa sababu tunataka viongozi wetu wawe na weledi. Tofauti na nyie ambao mna mentalitity kuwa kuwa mzalendo kwa timu yako ni kukalia kimya hata mnapodanganywa na viongozi wenu. Tofauti yetu iko hapo. Anyway, tulimalize hili.
 
Tuko huru kuyaongelea ya kwetu kwa sababu tunataka viongozi wetu wawe na weledi. Tofauti na nyie ambao mna mentalitity kuwa kuwa mzalendo kwa timu yako ni kukalia kimya hata mnapodanganywa na viongozi wenu. Tofauti yetu iko hapo. Anyway, tulimalize hili.
Sifa ya taasisi yoyote ile duniani ni kutunza siri za ndani hasa za zile top management.Sasa nyinyi taasisi yenu itakuwa ya ajabu sana.

Kwenye taasisi yoyote kuna vitu vya kuongelewa kwenye vikao na kuongelewa kwa watu wengine baada ya kupata ruhusa kutoka kwenye management ya juu.

Kama taasisi yenu haipo hivyo basi ni sawa na kikundi cha wahuni.
 
Sifa ya taasisi yoyote ile duniani ni kutunza siri za ndani hasa za zile top management.Sasa nyinyi taasisi yenu itakuwa ya ajabu sana.

Kwenye taasisi yoyote kuna vitu vya kuongelewa kwenye vikao na kuongelewa kwa watu wengine baada ya kupata ruhusa kutoka kwenye management ya juu.

Kama taasisi yenu haipo hivyo basi ni sawa na kikundi cha wahuni.
Kwa hiyo wewe unadhani viongozi wa Yanga wana weledi kuliko Simba. Yanga hii ambayo Rais wa klabu pia ni mfanyakazi wa juu katika kampuni inayoidhamini timu? Yanga hii ambayo CEO alionekana kule Nigeria akifanya kazi inayotakiwa kufanywa na mfanyakazi wa chini kabisa? Yanga hii ambayo ilivamia chumba cha wageni na kuwamwagia maji ya maiti? Yanga hii ambayo ilipigwa faini kwa kuwapulizia wageni sumu na kupata tuhuma za upotevu wa pesa za wageni? Yanga hii ambayo imeweka mapokeo ya pesa za mkopo ambalo ni deni kama sehemu ya mapato yake? Unataka niendelee?
 
Kwa hiyo wewe unadhani viongozi wa Yanga wana weledi kuliko Simba. Yanga hii ambayo Rais wa klabu pia ni mfanyakazi wa juu katika kampuni inayoidhamini timu? Yanga hii ambayo CEO alionekana kule Nigeria akifanya kazi inayotakiwa kufanywa na mfanyakazi wa chini kabisa? Yanga hii ambayo ilivamia chumba cha wageni na kuwamwagia maji ya maiti? Yanga hii ambayo ilipigwa faini kwa kuwapulizia wageni sumu na kupata tuhuma za upotevu wa pesa za wageni? Yanga hii ambayo imeweka mapokeo ya pesa za mkopo ambalo ni deni kama sehemu ya mapato yake? Unataka niendelee?
Sasa CEO kutembea na club ni kitu cha ajabu, issues kuongea vitu vya management mbele ya jadhara kama alichofanya tajiri wenu MO. Yale alitakiwa aongee mbele ya bodi ya Simba. Uweledi wao utoe wapi ,wewe kama mngekuwa na akili msingefanyiwa kile mlicho fanyiwa na mwenyekiti wenu kumleta Manzoki wakati wa usajili au may alikuwa wakala/msimamizi wa uchaguzi au ule kwako ulikuwa ni uweledi.

Timu yenye viogozi wenye uweledi kweli wanarusu wachezaji wao kupanda na vibiriti pamoja na mizigo ya kuni kufanya ujinga huu 👇👇 au na huu nao uweledi.
images (68).jpeg


Unaweza kunionyeshea picha wakimwaga hayo maji?Maana unajisifu kuongea kwa fact.Bora sie wenye mkopo kuliko nyie boss wenu kila siku anawajambisha anataka kujitoa.
 
Sasa CEO kutembea na club ni kitu cha ajabu, issues kuongea vitu vya management mbele ya jadhara kama alichofanya tajiri wenu MO. Yale alitakiwa aongee mbele ya bodi ya Simba. Uweledi wao utoe wapi ,wewe kama mngekuwa na akili msingefanyiwa kile mlicho fanyiwa na mwenyekiti wenu kumleta Manzoki wakati wa usajili au may alikuwa wakala/msimamizi wa uchaguzi au ule kwako ulikuwa ni uweledi.

Timu yenye viogozi wenye uweledi kweli wanarusu wachezaji wao kupanda na vibiriti pamoja na mizigo ya kuni kufanya ujinga huu 👇👇 au na huu nao uweledi.
View attachment 2692263

Unaweza kunionyeshea picha wakimwaga hayo maji?Maana unajisifu kuongea kwa fact.Bora sie wenye mkopo kuliko nyie boss wenu kila siku anawajambisha anataka kujitoa.
Umezoea uongozi wa kufichana fichana. Ukielewa tofauti yetu iko hapo wala usingeshangaa hayo ya Simba. Haya, Mo kasema hivyo, nini kimetokea? Unaelewa maana ya hisa? Akijitoa unadhani zile hisa zake zinakwenda wapi? Sanasana anaweza kuziuza kama sheria inamruhusu, sasa hapo Simba watakuwa wamepoteza nini?

Halafu unarukaruka sana na hoja bwashee, nashindwa hata nikujibu lipi niache lipi. Halafu ninapokwambia uongee facts namaanisha pia usipende kukuza mambo zaidi ya uhalisia. Sasa eti waliingia na mzigo wa kuni!
 
Umezoea uongozi wa kufichana fichana. Ukielewa tofauti yetu iko hapo wala usingeshangaa hayo ya Simba. Haya, Mo kasema hivyo, nini kimetokea? Unaelewa maana ya hisa? Akijitoa unadhani zile hisa zake zinakwenda wapi? Sanasana anaweza kuziuza kama sheria inamruhusu, sasa hapo Simba watakuwa wamepoteza nini?

Halafu unarukaruka sana na hoja bwashee, nashindwa hata nikujibu lipi niache lipi. Halafu ninapokwambia uongee facts namaanisha pia usipende kukuza mambo zaidi ya uhalisia. Sasa eti waliingia na mzigo wa kuni!
Nyie uongozi wenu si sio wa kufichaficha na ndio maana mkalitia aibu taifa kwa kufanya vitu vya kijinga mbele ya umati wa watu Afrika nzima wameona kwenye TV ya kuwa nyie ni wazee wa ndumba.

Kwanza hisa zipi unazo zinzungumzia wakati juzi alilalamika mnamkwamisha,ndio maana kila siku analalamika mnamtia hasara. Sasa sijajua lile bango mlilishika kama urembo.

Facts zipi wewe atleast mimi na refer wewe umerefer kitu gani zaidi ya chai,FACTS BILA REFERENCE NI UJINGA.
 
Nyie uongozi wenu si sio wa kufichaficha na ndio maana mkalitia aibu taifa kwa kufanya vitu vya kijinga mbele ya umati wa watu Afrika nzima wameona kwenye TV ya kuwa nyie ni wazee wa ndumba.

Kwanza hisa zipi unazo zinzungumzia wakati juzi alilalamika mnamkwamisha,ndio maana kila siku analalamika mnamtia hasara. Sasa sijajua lile bango mlilishika kama urembo.

Facts zipi wewe atleast mimi na refer wewe umerefer kitu gani zaidi ya chai,FACTS BILA REFERENCE NI UJINGA.
Duh we jamaa ni mfano mzuri wa mwana puyanga. Unaitendea haki Yanga yako maana mmeamriwa na katiba yenu mbishane hadi ikibidi ufe ila usikubali kushindwa.

Kwa hiyo Simba kuwasha ule moto umeona jambo la ajabu, je waarabu wanaowasha moto uwanja mzima na kufunika uwanja kwa moshi hadi mpira unasimama? Simba wangefanya hivyo si ungeandamana wewe?

Wewe unadhani Mo akijitoa kama unavyodhani, nini kitatokea kwenye huo mchakato, embu mwaga maono yako ili nijue nazungumza na mtu wa caliber gani. Maana hasara hata CAF wanapata hasara na si jambo la kuficha tofauti na Yanga wanaoficha hasara kwa kuweka deni kama pato.
 
Duh we jamaa ni mfano mzuri wa mwana puyanga. Unaitendea haki Yanga yako maana mmeamriwa na katiba yenu mbishane hadi ikibidi ufe ila usikubali kushindwa.

Kwa hiyo Simba kuwasha ule moto umeona jambo la ajabu, je waarabu wanaowasha moto uwanja mzima na kufunika uwanja kwa moshi hadi mpira unasimama? Simba wangefanya hivyo si ungeandamana wewe?

Wewe unadhani Mo akijitoa kama unavyodhani, nini kitatokea kwenye huo mchakato, embu mwaga maono yako ili nijue nazungumza na mtu wa caliber gani. Maana hasara hata CAF wanapata hasara na si jambo la kuficha tofauti na Yanga wanaoficha hasara kwa kuweka deni kama pato.
Kweli kwenu si jambo la ajabu ni la kawaida na mshalizoea ni utamaduni wenu. Waarabu wanawasha fataki kwenye mabenchi yao na si ule wa kwenu.

Ni mwage maono gani ,akijitoa timu si intruding kwa wananchi kama zamani.Kama wangekuwa wanaficha wasinge tangaza mapato na matumizi ya club na ndivyo taasisi kubwa zinafanyaga.

Wewe ushawahi kuosomewa mapato na matumizi ya club yako?Kwani ukiwa na deni huwezi tangaza faida?Hao Madrid wana deni baada ya kukopa na kutanua uwanja na bado wanatangaza faida.
 
Kweli kwenu si jambo la ajabu ni la kawaida na mshalizoea ni utamaduni wenu. Waarabu wanawasha fataki kwenye mabenchi yao na si ule wa kwenu.

Ni mwage maono gani ,akijitoa timu si intruding kwa wananchi kama zamani.Kama wangekuwa wanaficha wasinge tangaza mapato na matumizi ya club na ndivyo taasisi kubwa zinafanyaga.

Wewe ushawahi kuosomewa mapato na matumizi ya club yako?Kwani ukiwa na deni huwezi tangaza faida?Hao Madrid wana deni baada ya kukopa na kutanua uwanja na bado wanatangaza faida.
Kuwa na deni halafu upate faida si sawa na kuwa na deni na kulitumia katika mahesabu ya faida uliyopata kama vile ni pato lako. Kama unataka somo kwenye hilo suala niambie nikupe link kuna uzi nilielezea hiyo mada vizuri tu. Ila kama unaendelea kubisha hayaa...

Kwenye suala la moto, kumbe ishu ni umewashwa wapi? Kwa hiyo ikitokea Simba ikawasha moto nje kabisa ya uwanja, moshi ukasogezwa na upepo ukatanda uwanja mzima, hilo litakuwa sawa kwako?
 
Back
Top Bottom