Kocha Nabi Kaisuka Yanga SC kwa miaka Miaka Miwili, Kocha Oliveira Kaisuka Simba SC kwa Miezi Minne je, yupi ni Bora?

Kocha Nabi Kaisuka Yanga SC kwa miaka Miaka Miwili, Kocha Oliveira Kaisuka Simba SC kwa Miezi Minne je, yupi ni Bora?

GENTAMYCINE

JF-Expert Member
Joined
Jul 13, 2013
Posts
60,660
Reaction score
121,325
Kwa tulisoma Saikolojia na hata kuwa Wakufunzi / Walimu tukiona Mwanafunzi anamwelewa Mwalimu kwa muda mfupi huamini huyo Mwalimu ni mahiri ila tukiona kuna Mwalimu kaeleweka na Wanafunzi kwa muda mrefu haraka sana huwa tunamtilia Mashaka na hata Kuamuru Uchunguzi wa Kitaaluma ufanyike kwa huyo Mwalimu.
 
Ncha Kali .

Nabi sio PROFESA.

Naomba IFUTE Hilo Neno.

Mtu Hana hata Degree Moja, unamwitaje PROFESA!!!!!

Hakuna Cha maana alichokifanya, Wala Kugundua kufungwa na Simba, kufungwa na Ihefu vipers Alhilal mnamwita PROFESA. Shame.

Na kwenye LIGI KUU Simba hainafungwa miaka miwili na Nabi.


PROFESA Looser.
 
Kwa tulisoma Saikolojia na hata kuwa Wakufunzi / Walimu tukiona Mwanafunzi anamwelewa Mwalimu kwa muda mfupi huamini huyo Mwalimu ni mahiri ila tukiona kuna Mwalimu kaeleweka na Wanafunzi kwa muda mrefu haraka sana huwa tunamtilia Mashaka na hata Kuamuru Uchunguzi wa Kitaaluma ufanyike kwa huyo Mwalimu.
Kama aliisuka, mbona imeishia palepale inapoishia kila mwaka? Mbona haikwenda nusu fainali? Ili avunje rekodi ya wengine???
 
Ncha Kali .

Nabi sio PROFESA.

Naomba IFUTE Hilo Neno.

Mtu Hana hata Degree Moja, unamwitaje PROFESA!!!!!

Hakuna Cha maana alichokifanya, Wala Kugundua kufungwa na Simba, kufungwa na Ihefu vipers Alhilal mnamwita PROFESA. Shame.

Na kwenye LIGI KUU Simba hainafungwa miaka miwili na Nabi.


PROFESA Looser.
Hakuna timu ambayo haifugwi tunachongalia mwendelezo wa performance ya timu na nafasi kwenye msimamo
 
Kwa tulisoma Saikolojia na hata kuwa Wakufunzi / Walimu tukiona Mwanafunzi anamwelewa Mwalimu kwa muda mfupi huamini huyo Mwalimu ni mahiri ila tukiona kuna Mwalimu kaeleweka na Wanafunzi kwa muda mrefu haraka sana huwa tunamtilia Mashaka na hata Kuamuru Uchunguzi wa Kitaaluma ufanyike kwa huyo Mwalimu.
Uzi tayari
 
Kwa tulisoma Saikolojia na hata kuwa Wakufunzi / Walimu tukiona Mwanafunzi anamwelewa Mwalimu kwa muda mfupi huamini huyo Mwalimu ni mahiri ila tukiona kuna Mwalimu kaeleweka na Wanafunzi kwa muda mrefu haraka sana huwa tunamtilia Mashaka na hata Kuamuru Uchunguzi wa Kitaaluma ufanyike kwa huyo Mwalimu.
bora ni kocha ambaye wachezaji wake wameshindwa kufunga penati 2
 
Unaweza kulinganisha timu aliyoikuta Nabi na hiyo Simba? Ngoja tusubiri msimu ujao ambao ataanza toka mwanzo tuone uwezo wake ila kwa sasa Nabi ni kocha bora kuliko wote hapa nchini
 
Back
Top Bottom