Smart AJ
JF-Expert Member
- Mar 21, 2022
- 5,564
- 5,884
Profesa uchwaraUsifananishe profesa na vitu vya kipumbavu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Profesa uchwaraUsifananishe profesa na vitu vya kipumbavu.
Na Mgunda asibezwe jamani piaKwa tulisoma Saikolojia na hata kuwa Wakufunzi / Walimu tukiona Mwanafunzi anamwelewa Mwalimu kwa muda mfupi huamini huyo Mwalimu ni mahiri ila tukiona kuna Mwalimu kaeleweka na Wanafunzi kwa muda mrefu haraka sana huwa tunamtilia Mashaka na hata Kuamuru Uchunguzi wa Kitaaluma ufanyike kwa huyo Mwalimu.
Wagawa tu pointsNyuzi za kujifariji baada ya kutoka udangani
Aden Rage atakumbukwa sana kwa uasisi wake wa "Mbumbumbu"Kwaiyo hii Simba ndo ime sukwa? Kazi mnayo aisee
We Mama unajua nakusubiri hapa Big bone Sinza tupate vitu vya kikubwa?U professa wa majalalani
Amegongwa mara zote alizokutana nae huyo leprofeseli wakoUsifananishe profesa na vitu vya kipumbavu.
Duu hivi mtani wajua mie wa daaa??We Mama unajua nakusubiri hapa Big bone Sinza tupate vitu vya kikubwa?
Sent from my CPH2387 using JamiiForums mobile app
Damn Fool.Njoeni lile popoma limeanza mada zinazoendana na akili yake
Alex Ferguson alikua mda gani kuisuka Manchester united hadi falsafa yake kueleweka?
Pitso Mosimane alikaa na al ahly kwa muda gani mpaka wachezaji kumwelewa?
Kati ya Sisi wana Simba SC tulioitwa Mbumbumbu na huyo Rage na nyie Yanga SC ( wana Yanga SC wote ) mlioitwa Mbwa, Nyani na Sokwe ( ipo YouTube ) na aliyekuwa Kocha Mkuu wenu anayewadai Fedha zake na ameshawashtaki hadi FIFA aitwae Luc Eymael ( Raia wa Ubelgiji ) nani ndiyo Katukanwa na Kadhalilishwa vibaya na pakubwa?RAGE aliwaita mbumbumbu na hilo naendelea kuamini. Kwa akili ya kawaida tu ungeangalia kila kocha aliikuta timu ina hali gani. Nabi kaingia Yanga timu ndiyo kwanza ilikuwa inaanza kujitafuta na wachezaji wanaingia na kutoka, wakati huyu mwingine kakuta timu iko robo fainali. Nadhani tuombe Mungu uzima mwaka kesho Hawa makocha wote kwenye ligi wawepo ili tuheshimiane.
Wenye Akili watasema / tutasema Bora ni Robertino ila kwa Wapumbavu watalazimisha awe ni Nabi.Tukiweka unazi mbali,robertinho na nabi wamekutana mara tatu ila mara zote nabi hajawahi kumfunga mbrazil....so nani mkali zaidi...jibu liko wazi
Kati ya Sisi wana Simba SC tulioitwa Mbumbumbu na huyo Rage na nyie Yanga SC ( wana Yanga SC wote ) mlioitwa Mbwa, Nyani na Sokwe ( ipo YouTube ) na aliyekuwa Kocha Mkuu wenu anayewadai Fedha zake na ameshawashtaki hadi FIFA aitwae Luc Eymael ( Raia wa Ubelgiji ) nani ndiyo Katukanwa na Kadhalilishwa vibaya na pakubwa?Aden Rage atakumbukwa sana kwa uasisi wake wa "Mbumbumbu"
Sent from my CPH2387 using JamiiForums mobile app
Una taka mwenzio afungiwe jf?Popoma leo umeandika nyuzi 20
Hivi uliniambiaga uko Dom, mbona hufanani kabisa na wa mkoani?Duu hivi mtani wajua mie wa daaa??
Nikipigwa BAN sinyi au sili Chakula?Una taka mwenzio afungiwe jf?
Muoneeni Huruma, acheni kumchokozA
Jibu ndo hilo mkuuWenye Akili watasema / tutasema Bora ni Robertino ila kwa Wapumbavu watalazimisha awe ni Nabi.
Imeisha hiyo.
Hii nayo chaiTukiweka unazi mbali,robertinho na nabi wamekutana mara tatu ila mara zote nabi hajawahi kumfunga mbrazil....so nani mkali zaidi...jibu liko wazi
Kimataifa ya kombe la mbuzi[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Mkimaliza maneno nendeni Mtwara mkakomae na kina Namungo kimataifa wamebaki wanaume