mdukuzi
JF-Expert Member
- Jan 4, 2014
- 20,925
- 51,688
Kaizer Chief wanajua sana.
Wakati wa anafanyiwa usaili alijigamba kuwa anaweza kuleta maajabu kilabuni, akaambiwa njo uanze kazi akaanza mara nije na Mayele na benchi langi lote,janaa wakamstukia kuwa hamna kocha hapa.
Amin amin nawaambia bila Mayele na njemba fukani pale Yanga Nabi angeshatimuliwa siku nyingi.
A stronhest man is a one who walks alone, anaogopa nini kuanza kazi na watu wapya.
Makolo waliwahi kumfunga sana huyu kabla hajatua utopoloni,
Wakati wa anafanyiwa usaili alijigamba kuwa anaweza kuleta maajabu kilabuni, akaambiwa njo uanze kazi akaanza mara nije na Mayele na benchi langi lote,janaa wakamstukia kuwa hamna kocha hapa.
Amin amin nawaambia bila Mayele na njemba fukani pale Yanga Nabi angeshatimuliwa siku nyingi.
A stronhest man is a one who walks alone, anaogopa nini kuanza kazi na watu wapya.
Makolo waliwahi kumfunga sana huyu kabla hajatua utopoloni,