Sisi falsafa yetu ya limited budget hatoiwezaArsenal tunahitaji mtu makini kama pep, akipewa misimu mi5 tu tayari tutakuwa na vikombe vyote muhimu.
Naungoja msimu ujao kwa hamu nimuone xabi alonso na levakusen yake π
Kwa ligi kama ya france hata haivutii wachezaji wazuri kuikimbilia kwahiyo kupewa muda ni jambo muhimu.Jomba matajiri hawana muda..ukiwapa estimate ya project wanakupa mpunga timilifu kabisa kisha wanasubiri matokeo
Kama tunaweza nunua mchezaji kwa β¬50+ sidhani kama tunashindwa kwenda na falsafa za Pep. Arsenal kwa sasa ubahili wameuweka kandoSisi falsafa yetu ya limited budget hatoiweza
Arteta tukiendelea kumpa muda anaweza kutupatia kikombe cha EPL in future π€
Aje man u kuongeza nguvu Kwa ten hag.Hivi huyu Kocha tukisema aje Arsenal Kuna uwezekano mwakani tukabeba UEFA, ama yeye ni wa timu zenye kumwaga Mpunga mrefu kusajiri? π
By the way, apewe Maua yake
Wewe ukipewa ufundishe real madrid watachukua Uefa?....Kama ni kocha mzuri tumpe Nottingham forest au real huesca kama ataweza kuchukua Uefa au kikombe chochote hapo ndio nitaamini ni kocha mzuri lakini kufundisha real Madrid, ac milan kocha yeyote anaweza kufikia rekod hizo ni sawa sawa na kocha gamond apewe JKT tanzania alafu mwakan awe bingwa ni kitu ambacho hakiwezekan
Huna akili za kawaida tu na hujui mpiraNi kocha tu wa kawaida sema hela za club ndio zinamfikisha pale, leo hii hata bonifasi pawasa akapewa madrid na kocha wa makipa akiwa juma kaseja uwape madrid hiihii lazima tu wafanye vizuri
Man UTD imeshajichokea hiyo timu, itahitaji reshuffle kubwa ya wachezaji pamoja na management ili kuweza kukaa sawaAje man u kuongeza nguvu Kwa ten hag.
Hakika next titawin champions league
Yeah ila ni kweli MkuuKama tunaweza nunua mchezaji kwa β¬50+ sidhani kama tunashindwa kwenda na falsafa za Pep. Arsenal kwa sasa ubahili wameuweka kando
Kabisa ndio maana nikasema uwezo huo tunao.Yeah ila ni kweli Mkuu
Siku hizi tumeanza kupunguza ubahili kidogo kidogo, maana kama tumeanza kusajiri mchezaji Kwa paundi 100m si mchezo πͺπ
Kafuatilie rekodi zake pale Everton kama kuna kocha aliyefata baada yake amezifikia. Real Madrid waliomuomba arudi chamani, hizo habari za kukimbia hata mimi nazisikia sana huku Mburahati.Everton tu ilimshinda akatimua mbio.
Nifatilie nini cha ziada wakati ni msimu juzi tu. Hajafanya cha maana chochote akiwa Everton hajafanya hata robo ya alichokifanya Emery Villa.Kafuatilie rekodi zake pale Everton kama kuna kocha aliyefata baada yake amezifikia. Real Madrid waliomuomba arudi chamani, hizo habari za kukimbia hata mimi nazisikia sana huku Mburahati.
Mzee ukianza kuleta habari za Aston Villa wakati umeongelea Everton huko ni kuweweseka. Kwahiyo Madrid wanachukuaga kocha mwenye record mbovu?Nifatilie nini cha ziada wakati ni msimu juzi tu. Hajafanya cha maana chochote akiwa Everton hajafanya hata robo ya alichokifanya Emery Villa.
Alipopata ofa ya Madrid hakujiuliza mara 2 akatimua mbio.
Ancelloti kila sehemu aliyofundisha (timu kubwa) kweli kabebd makombe lakini mwisho wa siku alifukuzwa. Niambie Napoli alifanya nini cha maana.
Msimamo mwisho wa msmu? Ancelloti hajafanya kitu maana cha maana Everton wala Napoli.Mzee ukianza kuleta habari za Aston Villa wakati umeongelea Everton huko ni kuweweseka. Kwahiyo Madrid wanachukuaga kocha mwenye record mbovu?
Huo msimu anaondoka Everton kwenye mechi 38 za ligi kashinda 17. Nenda kaangalie nani kafikia hiyo namba.
Watu Wana utani sana yani wanajua mpira unajiendea TU kisa una Modric na kamavingaWewe ukipewa ufundishe real madrid watachukua Uefa?....
Au hata apewe mgunda au kocha wa timu ya kawaida tu ulayaataweza?....siyo kazi rahisi kukaa na kuwafundisha wachezaji wakubwa!...
Wacha tuendelee kuwaamini makocha Vijana akina Arteta ndiyo kwanza yupo na 42 yrsKabisa ndio maana nikasema uwezo huo tunao.
Arteta ni kocha mzuri ila apewe muda zaidi huenda akatufikisha kwenye mafanikio.Wacha tuendelee kuwaamini makocha Vijana akina Arteta ndiyo kwanza yupo na 42 yrs
Sahihi MkuuArteta ni kocha mzuri ila apewe muda zaidi huenda akatufikisha kwenye mafanikio.
Apewe fungu nono kwa maandalizi ya msimu ujao tayari kashaleta ushindani mzuri ndan ya Epl, bado kikombe kuchukua.Sahihi Mkuu
Bado umri una ruhusu na tayari ameshatambulisha identity yake ya soka lake
Kabisa MkuuApewe fungu nono kwa maandalizi ya msimu ujao tayari kashaleta ushindani mzuri ndan ya Epl, bado kikombe kuchukua.
Kwa ushindani anaozidi kuuonesha sina mashaka nae, kuweza kuturudisha UEFA CL ni wazi tuna usalama chini yake.Kabisa Mkuu
Ila naamini timu yetu ipo salama mikononi mwa Arteta