hah JF-Expert Member Joined Jan 28, 2024 Posts 507 Reaction score 1,004 May 18, 2024 #41 Arsenal Bingwa!!
United ya Ferguson JF-Expert Member Joined Oct 29, 2021 Posts 3,132 Reaction score 6,353 May 18, 2024 #42 hah said: Arsenal Bingwa!! Click to expand... Arsenal bigwa wa nini
A Afisa Tabibu JF-Expert Member Joined Oct 29, 2021 Posts 511 Reaction score 848 May 18, 2024 #43 Half american said: Kwa ushindani anaozidi kuuonesha sina mashaka nae, kuweza kuturudisha UEFA CL ni wazi tuna usalama chini yake. Huyu kipara wa man city ndio changamoto sana kwetu. Ila wahispania wanajua sana kwenye ukocha. Click to expand... Sure, kuchukua kombe mbele ya Pep inabid uwe na misuli kweli Kweli
Half american said: Kwa ushindani anaozidi kuuonesha sina mashaka nae, kuweza kuturudisha UEFA CL ni wazi tuna usalama chini yake. Huyu kipara wa man city ndio changamoto sana kwetu. Ila wahispania wanajua sana kwenye ukocha. Click to expand... Sure, kuchukua kombe mbele ya Pep inabid uwe na misuli kweli Kweli
Saad30 JF-Expert Member Joined May 26, 2020 Posts 2,737 Reaction score 5,464 May 18, 2024 #44 Mvinyo mpya said: Madrid watahangaika na makocha wakikwama wanamrudisha anceloti Click to expand... Huyu ndio mlezi wa familia mkuu
Mvinyo mpya said: Madrid watahangaika na makocha wakikwama wanamrudisha anceloti Click to expand... Huyu ndio mlezi wa familia mkuu
Half american JF-Expert Member Joined Sep 21, 2018 Posts 38,283 Reaction score 97,793 May 18, 2024 #45 Afisa Tabibu said: Sure, kuchukua kombe mbele ya Pep inabid uwe na misuli kweli Kweli Click to expand... Sio poa huyu mwamba kila ligi atakayoenda kombe la ligi lazima abebe.
Afisa Tabibu said: Sure, kuchukua kombe mbele ya Pep inabid uwe na misuli kweli Kweli Click to expand... Sio poa huyu mwamba kila ligi atakayoenda kombe la ligi lazima abebe.