Kocha pekee aliyefika Fainali 6 za UEFA Champions League

Kwa ushindani anaozidi kuuonesha sina mashaka nae, kuweza kuturudisha UEFA CL ni wazi tuna usalama chini yake.

Huyu kipara wa man city ndio changamoto sana kwetu.

Ila wahispania wanajua sana kwenye ukocha.
Sure, kuchukua kombe mbele ya Pep inabid uwe na misuli kweli Kweli
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…