Daudi Mchambuzi
JF-Expert Member
- Nov 25, 2010
- 62,197
- 128,160
Inshort kocha mpya anasema Chama amekwisha kiwango 😀
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ukiacha ulozi huku huwa kwenye soka ni mweupe sanaFeitoto anacheza nafasi ya Chama, sijui kama hata mpira mnaujuwa vizuri.
Mwalimu amejiridhisha kuwa hao wote ni magarasa hawana nguvu na speed ya kutosha.Ameshaanza na yeye visingizio. Yaani timu ina wqshambuliaji wanne; Kepteni John Bocco, Kibu Dennis, Habib Kiyombo na Moses Phiri! Halafu bado haridhiki tu!!
Kama vipi tumrudishe basi Dejan "Mlete Mzungu"
Kibu D ananguvu, Kasi na maarifa ya kufunga, kocha anataka kutupigisha shoti.
Yale yale ya mzunguKibu D ananguvu, Kasi na maarifa ya kufunga, kocha anataka kutupigisha shoti.