Kocha Robetinho wa Simba ataka Mshambuliaji

Kocha Robetinho wa Simba ataka Mshambuliaji

Ameshaanza na yeye visingizio. Yaani timu ina wqshambuliaji wanne; Kepteni John Bocco, Kibu Dennis, Habib Kiyombo na Moses Phiri! Halafu bado haridhiki tu!!

Kama vipi tumrudishe basi Dejan "Mlete Mzungu"
 
Ameshaanza na yeye visingizio. Yaani timu ina wqshambuliaji wanne; Kepteni John Bocco, Kibu Dennis, Habib Kiyombo na Moses Phiri! Halafu bado haridhiki tu!!

Kama vipi tumrudishe basi Dejan "Mlete Mzungu"
Mwalimu amejiridhisha kuwa hao wote ni magarasa hawana nguvu na speed ya kutosha.
Soma maelezo yake vizuri utaelewa.
 
Kuna watu watapoteana hapa maana wakati wenzenu wanatafuta ushindi ,kocha anatafuta jinsi ya kuwafanya wachezaji waende sawa na mfumo wake na washabiki wenyewe nao hawana uvumilivu.
 
Back
Top Bottom