ngara23
JF-Expert Member
- Aug 31, 2019
- 9,091
- 21,087
Katika hali ya kushangaza coach Saed Ramovic ameaga rasmi na kuwa mechi ya kesho vs ya Ken Gold ndo mechi ya mwisho kuwa Yanga
Club ya CR Beilouzdad imempa offer ya mshahara wa dollar 40,000 na Yanga alikuwa akilipwa dollar 15,000,
Kwa huu mkwanja na ubinadamu laZima ushawishike
Inasemekana mchezo wa Kesho hatakuwepo kwenye bench la ufundi na badala yake atasimama Abdi Moallin Mkurugenzi wa ufundi wa Club ya Young Africans
Tunamtakia kila heri coach Saed Ramovic German machine
Club ya CR Beilouzdad imempa offer ya mshahara wa dollar 40,000 na Yanga alikuwa akilipwa dollar 15,000,
Kwa huu mkwanja na ubinadamu laZima ushawishike
Inasemekana mchezo wa Kesho hatakuwepo kwenye bench la ufundi na badala yake atasimama Abdi Moallin Mkurugenzi wa ufundi wa Club ya Young Africans
Tunamtakia kila heri coach Saed Ramovic German machine