CODE-04
JF-Expert Member
- Oct 17, 2023
- 961
- 2,716
Tungempata mtu kama Ibenge, mzee wa mambinu ingependeza sana.Yanga ni kubwa watakuja makocha wengine
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tungempata mtu kama Ibenge, mzee wa mambinu ingependeza sana.Yanga ni kubwa watakuja makocha wengine
Kubadilisha sio kubadirishaHivi kubadirisha badirisha makocha sio hasara kubwa sana kwa team?
Kwani hili nalo la kustaajabisha?Me sinaga habari za kuokoteza, utakuja kuniheshimu siku 1
Niko ndani ya Yanga
Tunamleta atakayekupaga 5 March 8Kwani hili nalo la kustaajabisha?
Club kama ile hatuwezi kuwa surprised kuona vibaka na wahuni wako ndani ya vitengo.
Na pengine hiyo ni moja ya sababu ya Sudi kumfanya asepe.
Nimeipenda hii👏🏾Iliiuwa mipango tu tumu anapewa Msomali
Ni hasara ila kwa huyu Side mnyamwezi tubadilishe tu. Jamaa akafundishe timu changa huku haweziHivi kubadirisha badirisha makocha sio hasara kubwa sana kwa team?
Endeleeni kubadilisha makocha kama boksaTunamleta atakayekupaga 5 March 8
Usifurahi kupitiliza
Ni kweli anaondoka lakini sio kwa kufukuzwa isipokuwa anakwenda kuwa kocha mkuu wa CR belouzdad ya Algeria,,wamekubali kuvunja mkataba wake na kulipa fidia ya mkataba huo ili wamchukue na wametoa ofa kubwa sana ambayo kocha ameamua kukaa mezani na waajiri wake kukubaliana kuvunja mkataba huo na amekubaliwa!Katika hali ya kushangaza coach Saed Ramovic ameaga rasmi na kuwa mechi ya kesho vs ya Ken Gold ndo mechi ya mwisho kuwa Yanga
Na atatumia mchezo wa Kesho kuaga mashabiki wa Yanga
Tunamtakia kila heri coach Saed Ramovic German machine
Leo hii ushasahahu mlivyokuwa mnafukuza Makocha kila kukicha!!Endeleeni kudilisheni makocha kama boksa
Ibenge hana soka la kuvutia ila bonge la fundi.Tungempata mtu kama Ibenge, mzee wa mambinu ingependeza sana.
Kama ni kweli basi jamaa atakuwa ana bahati lakini hamna kocha mule!!Ni kweli anaondoka lakini sio kwa kufukuzwa isipokuwa anakwenda kuwa kocha mkuu wa CR belouzdad ya Algeria,,wamekubali kuvunja mkataba wake na kulipa fidia ya mkataba huo ili wamchukue na wametoa ofa kubwa sana ambayo kocha ameamua kukaa mezani na waajiri wake kukubaliana kuvunja mkataba huo na amekubaliwa!