Kocha wa Al Ahly, Marcel Koller: Yanga ndio timu tunayoitizamia kwa sasa

Kocha wa Al Ahly, Marcel Koller: Yanga ndio timu tunayoitizamia kwa sasa

David Harvey

JF-Expert Member
Joined
Jul 17, 2014
Posts
2,894
Reaction score
6,020
Amenukuliwa na gazeti la African magazine sports kwamba kwa sasa katika group lao timu wanayohiofia ni young africa sport, alihojiwa kuhusu CR Belouzdad na Medeama akasema vijana wa yanga Africa wapo vizuri zaidi ya hao na wasipokuwa makini wanaweza kupoteza game zote home/away.

Mbali zaidi alianza kuwafatilia Young Africa tangu walivyopangwa nao group moja na wachezaji ambao wenye hatari amewataja Pacoume Zouzou na Max Nzengeli.

NB: Nahisi kipigo kitakatifu alichokutana nacho kibonde wa Al Ahly, Simba sport club kimemfikirisha sana kocha wa Al ahly Marcel Koller yenye maskani yake pale Cairo.

BADO HAMJASEMA

download.jpeg

 
Ila Yanga tukitulia na kucheza kwa nidhamu ya hali ya juu, tunaweza kuongoza kwenye kundi letu.

NB:- Djugui Diarra anatakiwa kubadilika na pia apunguza masihara. Mechi na Ihefu alitufungisha goli la kwanza, na kwenye mechi na Simba akarudia tena makosa yale yale kwenye lile goli lao la kufutia machozi.
 
Ila Yanga tukitulia na kucheza kwa nidhamu ya hali ya juu, tunaweza kuongoza kwenye kundi letu.

NB:- Djugui Diarra anatakiwa kubadilika na pia apunguza masihara. Mechi na Ihefu alitufungisha goli la kwanza, na kwenye mechi na Simba akarudia tena makosa yale yale kwenye lile goli lao la kufutia machozi.
Yanga ya sasa ni tishio kuliko yanga ya kina mayele,tumekosa namba 9 tu kama mayele angekuwepo yanga ingeitwa cancer
 
Ila Yanga tukitulia na kucheza kwa nidhamu ya hali ya juu, tunaweza kuongoza kwenye kundi letu.

NB:- Djugui Diarra anatakiwa kubadilika na pia apunguza masihara. Mechi na Ihefu alitufungisha goli la kwanza, na kwenye mechi na Simba akarudia tena makosa yale yale kwenye lile goli lao la kufutia machozi.
Sometimes ana utoto kama wa Inonga hasa timu ikiwa inaongoza
 
Sometimes ana utoto kama wa Inonga hasa timu ikiwa inaongoza
Sahihi kabisa. Kocha wake anatakiwa kumshauri abadilike.

Imagine kwenye mechi ya juzi na simba, baada tu ya timu kupata goli dakika ya 3 tu ya mchezi, akaanza eti kupoteza muda!! Na dakika chache baadaye akafanya makosa yaliyosababisha goli la kusawazisha.
 
Sahihi kabisa. Kocha wake anatakiwa kumshauri abadilike.

Imagine kwenye mechi ya juzi na simba, baada tu ya timu kupata goli dakika ya 3 tu ya mchezi, akaanza eti kupoteza muda!! Na dakika chache baadaye akafanya makosa yaliyosababisha goli la kusawqzisha.
Duh. Hata sikujua hili. Kumbe goli la pili kwenye mechi alisababisha yeye?
 
Ila Yanga tukitulia na kucheza kwa nidhamu ya hali ya juu, tunaweza kuongoza kwenye kundi letu.

NB:- Djugui Diarra anatakiwa kubadilika na pia apunguza masihara. Mechi na Ihefu alitufungisha goli la kwanza, na kwenye mechi na Simba akarudia tena makosa yale yale kwenye lile goli lao la kufutia machozi.
Kwenye Mechi ya Simba labda mm sikuona vizuri. Binafsi naamini chanzo cha goli lile ni Musonda. Yanga imekuwa ikifungwa magoli ya Aina hiyo Kwa miaka 3 mfululizo. Anzia fainali ya FA Kigoma goli la Thadeo Lwanga, Mechi na Azam mwaka Jana goli la Asamoah, na juzi goli la Kibu. Kipa anazuiaje Kona inayodondoka near post zaidi ya mabeki kuhakikisha mpira unarudi ulikotoka? Ukiniambia Diara alishindwa kupanga Wachezaji wake nitakubaliana na wewe Mkuu.
 
Back
Top Bottom