EvilSpirit
JF-Expert Member
- Jun 15, 2017
- 10,576
- 16,644
Dah nimecheka kifala jamaa anavyomng'ong'a big
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Dah nimecheka kifala jamaa anavyomng'ong'a big
Ila Yanga tukitulia na kucheza kwa nidhamu ya hali ya juu, tunaweza kuongoza kwenye kundi letu.
NB:- Djugui Diarra anatakiwa kubadilika na pia apunguza masihara. Mechi na Ihefu alitufungisha goli la kwanza, na kwenye mechi na Simba akarudia tena makosa yale yale kwenye lile goli lao la kufutia machozi.