Tetesi: Kocha wa Azam keshapewa thank you

Azam wasiishie kumfukuza Kocha na benchi lake la ufundi, afukuzwe Mtendaji Mkuu wa Azam FC
 
Wabongo na hizo Chambuzo zenu huwa Mnanishangaza sana. Mnavyomsakama kwa huo mfumo wa mnasahau kabisa kwamba wakiwa katika mfumo huohuo Azak ndiyo walikuwa wa kwanza kupata goli.
Ifike wakati mkubali tu uwezo wa timu.
Mnataka kutwambia kwa kuwa timu nyingi zinatumia mfumo mnaoupendekeza basi tutarajie sare kuwa zaidi ya 80% ya mechi zote?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…