The branding
Senior Member
- Apr 17, 2022
- 186
- 320
Ni Kati ya kazi za hovyo, sijui hata kama makocha wanakata bima ya afyaUkocha ndio Kazi isiyo na uhakika wa kukikalia kiti siku ya pili timu ikifungwa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ni Kati ya kazi za hovyo, sijui hata kama makocha wanakata bima ya afyaUkocha ndio Kazi isiyo na uhakika wa kukikalia kiti siku ya pili timu ikifungwa
Hasa ukienda tofauti na watawalaKama teuzi za wanasiasa mkuu
Wabongo na hizo Chambuzo zenu huwa Mnanishangaza sana. Mnavyomsakama kwa huo mfumo wa mnasahau kabisa kwamba wakiwa katika mfumo huohuo Azak ndiyo walikuwa wa kwanza kupata goli.Sasa kama Ile siku ya Fainali ya Ngao ya hisani mwamba kaanza na mfumo wa 3-4-3 kwanini asichezee nyingi Kwa timu kama Yanga yenye wachezaji wanaoanzisha Pasi za haraka na kupiga krosi au kutumia mabeki wa pembeni wanao-act kama mawinga, Left wing back LWB...