Wewe ndo mkweli kuliko wote.
KILA ZAMA NA KITABU CHAKE!
1.Kulikuwa na zama za Mbaraka (Moro Jazz) na Salum Abdalla (Quban Malimba)
2.Ikawepo zama ya Remmy Ongala na Matimila yake.
3.Waliibuka Mlimani Park na Juwata Jazz.
4.Tusiwasahau Marijan Rajabu (Jabali la Muziki na Hemed Manet Ulaya (Chiriku)
5.Au kuna mtu amewasahau Khadija Kopa na Nassima Khamis Kidogo enzi za kilele cha mipasho ya Taarabu?
6.Ameibuka Mzee Yusuph na Issa Kijoti hadi ajali iipoondoa uhai wake na mengi yakasemwa kisha "Mfalme" naye akastaafu!!
7.Tunataka kusahau zama za Justine Kalikawe na Mr.II?
8.Walikuwepo AY na Mwana FA.
9.Kisha ni Ally Kiba na Diamond watoto wa Kigoma waluotengeneza umaarufu na fedha kwa kutumia bifu!!
KILA ZAMA NA KITABU CHAKE!!
Sent using
Jamii Forums mobile app