Kocha wa dunia Mwinjuma kipaji ameua nani

Mentor wangu alikuwa ananipa somo juu ya ishu fulani ilikuwa inanitatiza akanipa mfano wa huyu jamaa kuwa alipata umaarufu kupitia mganga mmoja huko bagamoyo mwisho wa siku akakosea sharti,samahani nimelisahau

mentor wako ni mganga wa kienyeji?
 

uko sahihi sana
 
Wewe ndo mkweli kuliko wote.
KILA ZAMA NA KITABU CHAKE!
1.Kulikuwa na zama za Mbaraka (Moro Jazz) na Salum Abdalla (Quban Malimba)
2.Ikawepo zama ya Remmy Ongala na Matimila yake.
3.Waliibuka Mlimani Park na Juwata Jazz.
4.Tusiwasahau Marijan Rajabu (Jabali la Muziki na Hemed Manet Ulaya (Chiriku)
5.Au kuna mtu amewasahau Khadija Kopa na Nassima Khamis Kidogo enzi za kilele cha mipasho ya Taarabu?
6.Ameibuka Mzee Yusuph na Issa Kijoti hadi ajali iipoondoa uhai wake na mengi yakasemwa kisha "Mfalme" naye akastaafu!!
7.Tunataka kusahau zama za Justine Kalikawe na Mr.II?
8.Walikuwepo AY na Mwana FA.
9.Kisha ni Ally Kiba na Diamond watoto wa Kigoma waluotengeneza umaarufu na fedha kwa kutumia bifu!!
KILA ZAMA NA KITABU CHAKE!!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kweli kila Masika na mbuu wake.
 
Kuna wakati mganga mmoja aliripotiwa na gazeti moja la udaku kuwa anamdai milioni 3 za kumfanya maarufu na asipomlipa hatasikika tena.wiki moja tangu niliposoma habari hiyo nikasikia double m imenunuliwa juu kwa juu tena ikiwa safarini na marehem isihaka kibene....Serengeti sound

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Isiaka Kibene mmoja wapo wa wafadhili wa Msondo Ngoma alishafariki?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nimemsikiliza mahojiano yake na watangazaji wa Efm. Jamaa anaamini sana katika ushirikina hatafuti sababu za kisayansi za kuweza kudidimia kimuziki. Inasikitisha sana.
 
Huyu limbukeni sana, alioa mtoto wa watu akaishi nae miezi 3 tu akampa talaka, kisa hawezi kuishi ki..star, yaani mshamba mara anadai halikuwa chaguo lake lilikuwa la mama ake, akili kisoda lazima ayumbe tu, eti alimkabidhi marehemu Amina chifupa mkewe amfundishe kuishi ki star lakini mkewe hakuweza kuelewa, Dar ina mambo!!!!! haahahaaa..Nipishe nipishieee njia ya kupita, sijui alipita kwenda wapi?
 
Nipo hapa naona mnanijadili kumbe mnanikumbuka bado,nafurahi kuyaona haya.....
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…