Kocha wa dunia Mwinjuma kipaji ameua nani

Mentor wangu alikuwa ananipa somo juu ya ishu fulani ilikuwa inanitatiza akanipa mfano wa huyu jamaa kuwa alipata umaarufu kupitia mganga mmoja huko bagamoyo mwisho wa siku akakosea sharti,samahani nimelisahau
Chungulia PM watu wanauliza huyo mganga ni wa wapi....
 
Chungulia PM watu wanauliza huyo mganga ni wa wapi....


Mganga ni mimi hapa. Mwenye tatizo la aina yoyote anione PM.

Nasafisha nyota, tatizo la ajira(hata kama hujasoma we nione tu), cheo kazini, kurudisha mpenzi wa zamani aliekukataa, kununua gari au nyumba, jinsi ya kumfanya baba mwenye nyumba akusahau kodi, naondoka tatizo la umeme kukatika hovyo hovyo. Msongo wa mawazo, ukimwi, gonorrhea, kaswende...
 
Ondoa umasikini wa Watanzania wote nami nitakuamini

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Huyu jamaa nakumbuka aliteka sana kipindi cha nyuma katika soko la mziki wa dansi Yaani kusema kweli aliweza sana kuanzia mchinga sound mpaka kwenye bendi za Manyangau twanga sijui huyu jamaa yu wapi!
yupo mwanza kuna bendi ndio anaimba hapo
 
Sio kama muziki wa dansi ulipoteza mvuto?
 
Mentor wangu alikuwa ananipa somo juu ya ishu fulani ilikuwa inanitatiza akanipa mfano wa huyu jamaa kuwa alipata umaarufu kupitia mganga mmoja huko bagamoyo mwisho wa siku akakosea sharti,samahani nimelisahau
Akaoa pisi moja ya kuitwa Sada Sareh
mutoto ya Tanga kunani palee😁
Badae akaishia kuchapiwa na masela
 
Kabisa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…