Kocha wa Esperance awahofia Simba

Kocha wa Esperance awahofia Simba

Timu zilizoshika nafasi ya pili katika makundi ya shirikisho

Kundi A: USM Alger: Huyu alifanikiwa kuongoza kundi D la shirikisho mwaka 2018...aliibugiza Yanga goli 4-0 pale jijini algers katika mechi ya kwanza tu ya ufunguzi wa kundi...itoshe kusema kuwa yanga aliburuza mkia akiwa na jumla ya alama 4 nyuma ya Gormahia,Rayon sport na USM Alger

Kundi B: Rivers United ....huyu aliwazamisha mwiko utopolo nyumbani na ugenini

Kundi C: Pyramids...licha ya Yanga kuihamisha mechi ikachezwe kirumba mwaka 2019...Pyramids walikimaliza kipakti cha Salama kwa goli tayu za kibabe na kule misri waliwafunga utopolo bao 2....Yanga aliaga mashindano ya shirikisho kwa staili hiyo.


Hivyo yanga anakwenda kukutana na wajanja wake na itoshe kusema kuwa wameumaliza mwendo
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] labda Pyramids tyuuh, hawa wengine Yanga akikaza anatoboa.
 
Uchambuzi wangu

Huyu kocha naona anataka Wana lunyasi waombee wapangwe nae .....then waingie kwenye mfumo

Ili makolo Wapigwe nyingi....
Hivi wewe Utopolo kupangwa na timu fulani unaomba au inachezeshwa droo..toa huo mwiko huko nyuma unapoteza umakini wako.
 
Timu zilizoshika nafasi ya pili katika makundi ya shirikisho

Kundi A: USM Alger: Huyu alifanikiwa kuongoza kundi D la shirikisho mwaka 2018...aliibugiza Yanga goli 4-0 pale jijini algers katika mechi ya kwanza tu ya ufunguzi wa kundi...itoshe kusema kuwa yanga aliburuza mkia akiwa na jumla ya alama 4 nyuma ya Gormahia,Rayon sport na USM Alger

Kundi B: Rivers United ....huyu aliwazamisha mwiko utopolo nyumbani na ugenini

Kundi C: Pyramids...licha ya Yanga kuihamisha mechi ikachezwe kirumba mwaka 2019...Pyramids walikimaliza kipakti cha Salama kwa goli tayu za kibabe na kule misri waliwafunga utopolo bao 2....Yanga aliaga mashindano ya shirikisho kwa staili hiyo.


Hivyo yanga anakwenda kukutana na wajanja wake na itoshe kusema kuwa wameumaliza mwendo
Kwa hiyo wanashangilia mnyonge wao ameingia kwenye 18 zao!! "wananchi" wanatia huruma!
 
Simba ni taifa kubwa, huyu ana haki ya kuwa na hofu.
 
Hujawahi hata kucheza fainali achilia mbali kubeba Kombe afu unajiita Kigogo, hayo ndio matatizo ya AKILI sasa.
Vigogo ni akina nani??vigogo ni zile timu bora kumi afrika kwa mujibu wa viwango vya caf,au fifa.Asante.
 
kwenye kombe la losers/walioshindwa sawa! nikukumbushe kuwa yanga walikuwa kwenye mashindano ya mabingwa wakashindwa na kutolewa! wakapelekwa kwa washindwa wenzao! Huko wanasukumana walevi kwa walevi!!
Huku shirikisho ndio kugumu zaidi ..... that's y mlitumia uchawi sana ingawa mlifurushwa mapema zaid
 
Ni mbovu ila haiwezi kuwa kama zilivyo Tp Mazembe na Bamako.
Mazembe na namakon ni hatari......but inategemeana wamekutana na timu gani


Mfano koloz walipigwa kipigo heavy na mazembe
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] labda Pyramids tyuuh, hawa wengine Yanga akikaza anatoboa.
Hakika mkuu.....naona umeanza kupata akili .....
 
Siwezi kuliamini hilo hao huwa wanatuchora tu yani Esperance kabisa labda
 
Hivi wewe Utopolo kupangwa na timu fulani unaomba au inachezeshwa droo..toa huo mwiko huko nyuma unapoteza umakini wako.
Geita waliombea kuPangwa n Yanga.....what happened
 
Mazembe na namakon ni hatari......but inategemeana wamekutana na timu gani


Mfano koloz walipigwa kipigo heavy na mazembe

Team iliyofungwa mechi 5 kati ya 6 inawezaje kuwa hatari?

Mazembe ilikuwa ni nyama ya kundi ndiomaana kula mtu alijipigia.
 
Back
Top Bottom