Waufukweni
JF-Expert Member
- May 16, 2024
- 2,060
- 5,648
Kuelekea mchezo kati ya Fountain Gate Fc dhidi ya Simba Sc, Kocha mkuu wa klabu ya Fontain Gate Fc, Robert Matano ameweka wazi kuwa yeye kwao Kenya anaitwa Simba na anakwenda kukutana na mnyama mwenzie.
"Mimi ni mpenzi wa Simba toka miaka mingi toka nacheza wakati huo marafiki zangu wanacheza Simba ila pia hata mimi kwetu Kenya naitwa Simba hivyo Simba na Simba tunakutana."
Kocha huyo raia wa Kenya amebainisha hayo wakati wa mkutano na waandishi wa Habari (Press conference) kuelekea mchezo kati ya wenyeji Fountain Gate Fc dhidi ya Simba Sc utakaopigwa leo Februari 06, 2025 katika dimba la Tanzanite Kwaraa.
"Mimi ni mpenzi wa Simba toka miaka mingi toka nacheza wakati huo marafiki zangu wanacheza Simba ila pia hata mimi kwetu Kenya naitwa Simba hivyo Simba na Simba tunakutana."
Kocha huyo raia wa Kenya amebainisha hayo wakati wa mkutano na waandishi wa Habari (Press conference) kuelekea mchezo kati ya wenyeji Fountain Gate Fc dhidi ya Simba Sc utakaopigwa leo Februari 06, 2025 katika dimba la Tanzanite Kwaraa.