Kocha wa Fountain Gate: Mimi ni shabiki wa Simba, asema mechi ya leo ni kuonana kwa Simba na Simba

Kocha wa Fountain Gate: Mimi ni shabiki wa Simba, asema mechi ya leo ni kuonana kwa Simba na Simba

Ata fadlu na benchikha walipanga wachezaji wa akiba na wakatandikwa vile vile kwaiyo akuna maajabu Mexime aliyoyafanya kupanga kikosi cha akiba!
Ndio matokeo yake said akasema ligi ya NBC ni dhaifu sababu ya mexime!
 
Back
Top Bottom