Hivi mnajua english kweli? Hzo tafsiri mmezitoa wapi?Nawashangaa Simba SC wametangaza kufanya kisasi na sisi Jwaneng Galaxy kwanini wasifanye kisasi cha kufungwa mabao 5 (na Yanga) Kwanza waliyofungwa hapa !! Sisi hatufahamu mambo ya kisasi na badala yake tumekuja kutafuta ushindi"
[emoji2399] Morena Ramoreboli
Kocha wa klabu ya Jwaneng Galaxy
Sent from my TECNO KG5j using JamiiForums mobile app
AahaaaaKocha anaongelea zaidi Simba kuliko timu yake...mind games...
Kocha kawasaidia kufanya tathmini ya Timu [emoji23][emoji23]Daaah
AnajiaminiKocha anaongelea zaidi Simba kuliko timu yake...mind games...
Mkuu....au wewe ndio ngeli haipandi [emoji23]Hivi mnajua english kweli? Hzo tafsiri mmezitoa wapi?
wameshindwa kuwanda washamba washamba Fc tuje tukandwe sis na vile vipumbavu pumbavu FC
Kuna upotoshaji mkubwa sana kwny kauli ya huyo kocha..sielewi why mfanye hivi..
Mkuu sis ako hajambo?"Msimu ujao Simba italazimika kubadili nusu ya timu kwa sababu ya mambo mengi, umri ni moja wapo".
- Morena Ramoreboli, Kocha wa Jwaneng Galaxy
#FutbalPlanetUpdates
#CAFCL
[emoji2788]πππΎππΌ ππΌ π ππΌππππ
Sent from my TECNO KG5j using JamiiForums mobile app
Iko shida mahali, leta ile clip yake akiongelea hilo mi jana nimecheka sana.
[emoji23][emoji23]wameshindwa kuwanda washamba washamba Fc tuje tukandwe sis na vile vipumbavu pumbavu FC