Labda kashawaona hamna kituAlipaswa kuongea hivyo baada ya mechi sio kabka ya mechi.
Yaaah mkuu....tunawasubiriTuko pale na popcorn zetu, wakati mnyama akichinjwa
Duuuuh sema watu mliosoma kayumba ngeli haipandiKuna upotoshaji mkubwa sana kwny kauli ya huyo kocha..sielewi why mfanye hivi..
Simba hatoboi leoMkuu sis ako hajambo?
Na shemejio naye mzima?
Vipi na wewe hujambo? Bado upo kwa shemejio umetanua miguu kwa sofa na kupost ya Jwaneng au upo avic town kubeba mabegi ya Jwaneng?
#daimambelenyumamwiko
Anawapanikisha makolo [emoji23]Kocha wa Jwaneng ni Kisugu aliyechangamka [emoji1787][emoji1487]
Mkuu Kwan humfahamu kalpana alivyo complicatorIko shida mahali, leta ile clip yake akiongelea hilo mi jana nimecheka sana.
Ujinga mtupu..yani mnalazimisha contents zenu..rudia au mtafute mkalimani..Duuuuh sema watu mliosoma kayumba ngeli haipandi
Mimi nmesoma feza Boyz..... ngeli ipo [emoji91][emoji91]
Sent from my TECNO KG5j using JamiiForums mobile app
Acheni uchura wenu..
Kwani we hjui kuwa Leo kolo anatokavipi matokeo yakawa tofauti na kauli yake.
huyo ni kocha au ni afisa habari wa timu?
Mkuu ngeli imelala hapaUjinga mtupu..yani mnalazimisha contents zenu..rudia au mtafute mkalimani..
Basi wewe kuwa dawa ya chawa..leta mkeka wako...
Ndio game plan yake,awachochee hasira,aje awafunge kirahisiKocha anaongelea zaidi Simba kuliko timu yake...mind games...
Mkuu nna kazi nyingi zenye pesa ndefu...huo muda ntautoa wapBasi wewe kuwa dawa ya chawa..leta mkeka wako...
Kabisa [emoji23][emoji23]Ndio game plan yake,awachochee hasira,aje awafunge kirahisi
Wewe huyoo.. π² π πMkuu nna kazi nyingi zenye pesa ndefu...huo muda ntautoa wap
Sent from my TECNO KG5j using JamiiForums mobile app