Kocha wa Galaxy: Msimu ujao Simba wabadilishe kikosi wachezaji ni wazee

vipi matokeo yakawa tofauti na kauli yake.
huyo ni kocha au ni afisa habari wa timu?
 
jamaa kawapa makavu anasema kucheza viwanja vimejaa mashabiki wa timu pinzani ni kawaida kwao wamecheza morocco wakampasua wydad kwahio kwa mkapa sio kesi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…