United ya Ferguson
JF-Expert Member
- Oct 29, 2021
- 3,132
- 6,353
asitafte Namna ya kujifariji Mvua ya Magori io pale pale kocha wa Uroya naye alikuja na bwebwe kama zote ila kilichomkuta had kesho hatamani kurudi Bongojamaa kawapa makavu anasema kucheza viwanja vimejaa mashabiki wa timu pinzani ni kawaida kwao wamecheza morocco wakampasua wydad kwahio kwa mkapa sio kesi
Kama ana akili sana mpe ta..ko
Usijisahaurishe, hao waliwapiga tatu hapohapo Kwa Mkapa.asitafte Namna ya kujifariji Mvua ya Magori io pale pale kocha wa Uroya naye alikuja na bwebwe kama zote ila kilichomkuta had kesho hatamani kurudi Bongo
Yaah mkuu muda ni maliWewe huyoo.. [emoji44] [emoji23] [emoji23]
Makolo wanaoooogopajamaa kawapa makavu anasema kucheza viwanja vimejaa mashabiki wa timu pinzani ni kawaida kwao wamecheza morocco wakampasua wydad kwahio kwa mkapa sio kesi
[emoji23][emoji23][emoji23]Huyu jamaa mbona anamdomo sana kama ndege wa mwituni.
Akitoboa?
Shemeji ake anamlea vibaya 😂Huyu jamaa mbona anamdomo sana kama ndege wa mwituni.
Kazi ya kuishauri Simba kapewa na Nani?"Msimu ujao Simba italazimika kubadili nusu ya timu kwa sababu ya mambo mengi, umri ni moja wapo".
- Morena Ramoreboli, Kocha wa Jwaneng Galaxy
#FutbalPlanetUpdates
#CAFCL
[emoji2788]𝙆𝙊𝘾𝙃𝘼 𝙒𝘼 𝙅𝙒𝘼𝙉𝙀𝙉𝙂
Sent from my TECNO KG5j using JamiiForums mobile app
watoto wadogo wale leo.lazima tuwabakeUsijisahaurishe, hao waliwapiga tatu hapohapo Kwa Mkapa.
Haya sindikizeni wageni eyapoti. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Nawashangaa Simba SC wametangaza kufanya kisasi na sisi Jwaneng Galaxy kwanini wasifanye kisasi cha kufungwa mabao 5 (na Yanga) Kwanza waliyofungwa hapa !! Sisi hatufahamu mambo ya kisasi na badala yake tumekuja kutafuta ushindi"
[emoji2399] Morena Ramoreboli
Kocha wa klabu ya Jwaneng Galaxy
Sent from my TECNO KG5j using JamiiForums mobile app
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] hao veterans wakawapa kipigo heavy vijana eeeh?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] habari anayo kwa sasa."tumesikia wanaitwa makolo, baada ya kufika tumebaini kuwa hawa kweli ni makolo, tunasikutika kwakuwa Yanga ilishindwa kuwafunga 10 sisi tutawapiga 8 bila ili iwe fundisho"
Morena Ramoreboli
Kocha wa klabu ya Jwaneng Galaxy
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nikuongezee zingine tafadhariiiii. Ninazo nyingii mnooo.Tuko pale na popcorn zetu, wakati mnyama akichinjwa
Umetoboaaa wee mataqoooo, mfyuuuuuh
Kwendaa wapiii? Avic town?? Nyokooooo wee
Habari unayo? Au nikujuzee??jamaa kawapa makavu anasema kucheza viwanja vimejaa mashabiki wa timu pinzani ni kawaida kwao wamecheza morocco wakampasua wydad kwahio kwa mkapa sio kesi
Tumempa na 3 zingine za nyongezaaa, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Usijisahaurishe, hao waliwapiga tatu hapohapo Kwa Mkapa.