Kocha wa Geita Gold afungiwa mechi 16 kwa kumshika sehemu za siri mwamuzi

Aah kifuani.....nilijua kapima oil kabisa........kifuani inawezekana alimaind akataka kumpiga kabali sema ndo hivyo yamekua mengine,,,,,,sema hii kitu kwa Afrika itaendelea kuleta tu shida hao wamama wapelekwe tu kwenye michezo ya wamama wenzao mpira wa miguu una wahuni wengi sana sio vijana tu wengine ni wazee,,, kocha midadi inaweza ikapanda akamshushia tusi la kishkaji refa hapo angekua mwanaume anaweza akapeta tu sasa unakuta hilo tusi linamfikia mmama unajikuta umefungiwa mechi mwaka mzima
 
Mechi 16 kitu gani ilhali bado ataendelea kujihusisha na mambo ya mpira? Adhabu nyepesi kama hizi ndizo zinapelekea makocha wakose nidhamu kwa marefa. Ilitakiwa huyu afungiwe sio chini ya miaka 2 asijihusishe na mpira kabisa ili liwe fundisho kwa washenzy wengine kama yeye.
 
Duh. Aombe yaishe huo huko kwenye michezo. Hilo ni kosa la ubakaji kama kumkonyeza mwanamke.
 
Acheni zenu nyie. Siku hizi sehemu za Siri ni BANDAMA, MAINI,FIGO na MAPAFU tuu. Kocha ameonewa kwa Sheria za kipimbi.
 
Timu ya wahuni hiyo, huwezi mwajiri mtu wa sampuli hii.
 
Huyu alipaswa kufungiwa maisha
 
Mbona umeandika kama huna PUMBU?
Makasiriko ya nini, kila mtu na maoni yake.
Machoko ndio mnatabia za kukasirika kasirika hovyo.
Kwahiyo mie kusema WANAWAKE wenzio wakachezeshe ligi za kwenu huko umekasirika unakuja na OMO.

🤣😂
 
Mbona umeandika kama huna PUMBU?
Makasiriko ya nini, kila mtu na maoni yake.
Machoko ndio mnatabia za kukasirika kasirika hovyo.
Kwahiyo mie kusema WANAWAKE wenzio wakachezeshe ligi za kwenu huko umekasirika unakuja na OMO.

[emoji1787][emoji23]
Ndiyo kazi unaiweza!

Sent from my Infinix X626 using JamiiForums mobile app
 
Wanawake wachezeshe mechi zao si wana ligi yao??
Mimi mwenyewe nakerwa sana na hiki kitendo cha kulazimisha wanawake kuchezesha mechi za wanaume.Mpira unakosa ladha. Wanawake wa deal na majukumu yao na siyo vinginevyo.
 
Wanawake wachezeshe mechi zao si wana ligi yao??
Mbona Brazil na Argentina kuna marefa wengi sana wa kike wanaochezesha ligi za wanaume lakini hawafanyiwi udhalilishaji?
 
Kumshika mwanamke sehemu za siri its criminal anatakiwa apelekwe mahakamani tu ,wahuni hatuwataki kwenye mpira
 
Mbona Brazil na Argentina kuna marefa wengi sana wa kike wanaochezesha ligi za wanaume lakini hawafanyiwi udhalilishaji?
SIo huko tu duniani kote kuna marefa wanawake wanachezesha mechi za wanaume hata hapo uingereza tu
 
Hii anaendaje kuiwasilisha kwa mke wake...?🤣
ya kwamba "nimesimamishwa kazi kwa kumshika muamuzi nyonyo!."
ubinadamu ni kazi sana!
Ana kesi mbili za kujibu, home and away 😂
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…