Kocha wa Morocco atoa ushauri kwa Afrika

Kocha wa Morocco atoa ushauri kwa Afrika

Imeloa

JF-Expert Member
Joined
Jan 28, 2013
Posts
14,885
Reaction score
18,083
Kocha wa timu ya taifa ya Morocco Walid Regragui mzaliwa wa Ufaransa ameitaka Afrika kuachana na dhana au fikra ya kufikiria kucheza mechi tatu tu kwenye mashindano ya kombe la dunia na kupigana dhidi ya hiyo fikra
 
Kocha wa timu ya taifa ya Morocco Walid Regragui mzaliwa wa Ufaransa ameitaka Afrika kuachana na dhana au fikra ya kufikiria kucheza mechi tatu tu kwenye mashindano ya kombe la dunia na kupigana dhidi ya hiyo fikra
Anatoa ushauri Kama nani!? Kwa waafrica ama waarabu!?
 
He sounds like ashaanza kuvimba kichwa (na anayo haki ya kuvimba huko) lakini kaongea ukweli mtupu!

Timu nyingi kama sio zote za Afrika kufika tu kwenye zile fainali kwao wanaona ni success, na hakuna atakayemlaumu mwenzake wakiishia kwenye 32 Bora!

Ikitokea wamefika 16 Bora basi hapo unakuwa umelipa deni lote kiasi kwamba wengine wanaanza kukurudishia chenji!

Ukifika Top 8 tayari unakuwa African Knight unayestahili kupendwa na mademu wote wazuri...

In short, ni kama timu zinaenda kushiriki na sio kushindana, but finally Morocco wameonesha kwamba tunaweza kufanya makubwa zaidi!
 
Hakua na haja kupoteza nguvu kutoa ushauri kwa ngozi ya ajabu ulimwenguni. Ni sikio la kufa. Blacks ni "dead living objects".
 
In short, ni kama timu zinaenda kushiriki na sio kushindana, but finally Morocco wameonesha kwamba tunaweza kufanya makubwa zaidi!
Huenda Morocco wamefungua njia kwa nchi nyingine za Africa hasa sub-sahara kufika hatua hiyo au hata fainali miaka ijayo......

Kila jambo lina awali na Morocco wamepambana kukata utepe na kuvunja hicho kizuizi cha kihistoria kwa hili bara.
 
Huenda Morocco wamefungua njia kwa nchi nyingine za Africa hasa sub-sahara kufika hatua hiyo au hata fainali miaka ijayo......

Kila jambo lina awali na Morocco wamepambana kukata utepe na kuvunja hicho kizuizi cha kihistoria kwa hili bara.
Nakubaliana na wewe...

Unajua wakati mwingine ni mentality zetu ndizo zinazoturudisha nyuma, na ki ukweli kabisa wengi wala hawakufikiria kwamba nchi kutoka Afrika inaweza semi.

Hatimae, imeonekana, beyond reasonable doubt kwamba INAWEZEKANA, na sioni sababu kwanini nchi kama Cameroon au Ivory Coast zishindwe kufanya hivyo!!
 
Kocha wa timu ya taifa ya Morocco Walid Regragui mzaliwa wa Ufaransa ameitaka Afrika kuachana na dhana au fikra ya kufikiria kucheza mechi tatu tu kwenye mashindano ya kombe la dunia na kupigana dhidi ya hiyo fikra
Asiongee sana alibahatisha. Nahisi Waarabu walitoa rushwa na kocha wa ureno akamuweka cristiano benchi kipindi cha kwanza
 
Asiongee sana alibahatisha. Nahisi Waarabu walitoa rushwa na kocha wa ureno akamuweka cristiano benchi kipindi cha kwanza
Je ronaldo hakucheza?
Mashabiki wa huyu jamaa mnatia huruma sana
 
Back
Top Bottom