Kocha wa Polisi apunguze mahaba na utopolo, kauli zake zinaonesha ushabiki zaidi kiutopolo

Sasa si ndo maana akasajiliwa ili aisaidie timu au we unatakaje?
 
Huyo kocha ni kima tu kama kima wenzake wa Utopolo
 
Utawala huu umesababisha waliokuwa na akili kidogo waishiwe kabisa.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Na siku cbama acbeze peke yake dhid ya timu yyte muone
 
Ok nimekuelewa....ila Kuna timu Ina mtu anaitwa Dude...ilikuwa hivyo hivyo kwa majigambo...tusubiri tuone
 
Tangu timu yenu iwe na CEO wakike basi mmekuwa na wivu wa kike kike tu
 
Jamaa kaongea ukweli huu ushabiki maandazi ndo unaotuulia timu ya taifa mwamedi na kundi lake janja janja nyingi Sana najua muda si mrefu kishingo ataondoka lakini tatizo lipo juu sio chini moo kila kitu anataka a dominate yeye yaani boss Kawa hadi msemaji wa timu na huyu chama atakuja kuringaa watarenew mkataba kwa hela kuubwa sababu hakuna mascout wew mpka leo hujapata mbadala wa chama akiumia jamani mimi nasema ukweli simba ni chama na chama ni simba njoo mnipige mawe nipo huku sinza kwa remmy
Narudia tena simba bila chama ni ihefu ilovaa jezi nyekundu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…