Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tumia akili yko vzur. Hebu cku 1 mwambie acheze peke yke uwanjanJamaa kaongea ukweli huu ushabiki maandazi ndo unaotuulia timu ya taifa mwamedi na kundi lake janja janja nyingi Sana najua muda si mrefu kishingo ataondoka lakini tatizo lipo juu sio chini moo kila kitu anataka a dominate yeye yaani boss Kawa hadi msemaji wa timu na huyu chama atakuja kuringaa watarenew mkataba kwa hela kuubwa sababu hakuna mascout wew mpka leo hujapata mbadala wa chama akiumia jamani mimi nasema ukweli simba ni chama na chama ni simba njoo mnipige mawe nipo huku sinza kwa remmy
Wewe hata ukiwa na kitambi vipi ukipewa pasi ya mwisho ya chama lazima ufungeTumia akili yko vzur. Hebu cku 1 mwambie acheze peke yke uwanjan
Huyo anajitoa akili, ngoja chama awe majeruhi ndio wataelewa kinachoongelewaWewe hata ukiwa na kitambi vipi ukipewa pasi ya mwisho ya chama lazima ufunge
wewe utopolo mikataba ya Simba inakuhusu nini. soka ni biashara,Chama hata akipewa 1b wewe kinakuuma nini au wivu wa kikeJamaa kaongea ukweli huu ushabiki maandazi ndo unaotuulia timu ya taifa mwamedi na kundi lake janja janja nyingi Sana najua muda si mrefu kishingo ataondoka lakini tatizo lipo juu sio chini moo kila kitu anataka a dominate yeye yaani boss Kawa hadi msemaji wa timu na huyu chama atakuja kuringaa watarenew mkataba kwa hela kuubwa sababu hakuna mascout wew mpka leo hujapata mbadala wa chama akiumia jamani mimi nasema ukweli simba ni chama na chama ni simba njoo mnipige mawe nipo huku sinza kwa remmy
Tatizo sio 1b tatizo chama akiumia mkia wewewewe utopolo mikataba ya Simba inakuhusu nini. soka ni biashara,Chama hata akipewa 1b wewe kinakuuma nini au wivu wa kike
MbumbumbuJitopolo
Mashabiki walioitwa minyani na team coach wao. Uneducated kwel kwelTatizo sio 1b tatizo chama akiumia mkia wewe
UmekulaMashabiki walioitwa minyani na team coach wao. Uneducated kwel kwel
Chama ni muajiriwa wa Simba,Embu siku chezesheni hao striker wawili pasipo kuwepo kwa chama uone nini kitatokea. Ukweli ni kwamba Simba ni chama bila Chama Simba wanakuwa timu ya kawaida sana hata wakicheza mastraika wawili.
Aliyeleta utofauti katika mechi ya Jana ni chama ambaye kwanzia anaingia tu katoa tachi yake ya kwanza kabisa ambayo ingeweza kuleta goli lakini mmaliziaji kashindwa kutumia nafasi. Magoli yote mawili ni uwezo wake binafsi wa kutulia, kutumia akili, na kufanya maamuzi sahihi.
Chama ndiye mchezaji anayeibeba Simba, huo ndio uhalisia.
Yanga hatubebwi na mchezaji mmoja, niambie ni mchezaji gani akikosekana ndani ya kikosi cha Yanga basi Yanga inafungwa?Chama ni muajiriwa wa Simba,
Kama ilivyo Nchimbi kwa Utopolo.
Nae Nchimbi aibebe Utopolo, shida iko wapi hapo?
Ya uto hayanishughulishi, kazi yangu ni kushinda mechi zangu.Yanga hatubebwi na mchezaji mmoja, niambie ni mchezaji gani akikosekana ndani ya kikosi cha Yanga basi Yanga inafungwa?
Siyo kuwepo tu, hebu jaribu mechi ambazo Chama amekuwemo, lakini siku hiyo upepo ukamwendea vibaya, Mikia uwa wanastrago Sana.Wee jamaa unaonekana unapenda mabishano. Nilichoongea kipo wazi kabisa ya kwamba matokeo ya Simba yanabebwa na mchezaji mmoja. Usichokielewa ni kipi? Asipokuwepo huyo ni ngumu Simba kupata matokeo. Haujaelewa wapi?