Kocha wa Simba amewakataa wachezaji 5 wapya

Kocha wa Simba amewakataa wachezaji 5 wapya

Simba kinacho wakwamisha ni fedha, kwasasa fedha za usajili hakuna. M- bet walisain mkataba wa 12.5 b Kwa miaka 5.
Na iliwalazimu Simba ku sign mapema Dili la M-bet kwakua muda wa usajili ulifika na hawakua na fedha.
MO alishagoma kutoa fedha akimwambia Barbara klabu ijiendeshe Kwa kipato chake.
Installment ya Fedha za M-bet ndio zilizo sajili Sasa mzigo umekata na usajili umefanikiwa Kwa 60%.
Bahati mbaya Mashabiki wameambiwa mkataba wa M-bet ni Bilion 26 Ili ionekane wameizidi Yanga, Sasa kamba walizotengeneza Kwa kudanganya umma zinawafunga wenyewe.
Muda si mrefu kilakitu kitakua Hadharani.
Umeandika upuuzi mwingi ni kama umekalia kitu kigumu chenye ncha butu

Sent from my Nokia 5.1 Plus using JamiiForums mobile app
 
Ningekuwa Mimi.
Gadiel.
Kapama.
Kanute.
Banda.
MZUNGU.
Boko.
Nyoni.
Kyombo.
 
Kila nikitafakari kinachofanya Erasto Nyoni aendelee kuwepo Simba huwa nakosa jawabu nakubaki na mshangao
 
Upuuuzi mtupu
Kwasasa Sina namna kukataa shutuma za kuitwa mpuuzi kwakua ukweli siku zote uwa unajitetea wenyewe. Ninacho sisitiza ni swala la muda tu Kila kitu kitakuwa Hadharani.
 
Simba kinacho wakwamisha ni fedha, kwasasa fedha za usajili hakuna. M- bet walisain mkataba wa 12.5 b Kwa miaka 5.
Na iliwalazimu Simba ku sign mapema Dili la M-bet kwakua muda wa usajili ulifika na hawakua na fedha.
MO alishagoma kutoa fedha akimwambia Barbara klabu ijiendeshe Kwa kipato chake.
Installment ya Fedha za M-bet ndio zilizo sajili Sasa mzigo umekata na usajili umefanikiwa Kwa 60%.
Bahati mbaya Mashabiki wameambiwa mkataba wa M-bet ni Bilion 26 Ili ionekane wameizidi Yanga, Sasa kamba walizotengeneza Kwa kudanganya umma zinawafunga wenyewe.
Muda si mrefu kilakitu kitakua Hadharani.
Huu ndo ukweli mtupu, lakini ndg yangu utapondwa mawe
 
Kila nikitafakari kinachofanya Erasto Nyoni aendelee kuwepo Simba huwa nakosa jawabu nakubaki na mshangao
Nadhani anabaki kutokana na kua na uwezo wa kucheza nafasi nyingi dimbani.

Na kwa Sasa nadhani anabaki kama beki wa kati kwa Jinsi alivyotambulishwa.

Lingine ufundi bado anao mguuni ila sometime ni mwili/umri tu ndio humuangusha.Ahsante
 
Ikiwa ni majira ya Saa 4 usiku huku niliko, na Saa 5 Usiku hapo Nyumbani Tanzania, napenyezewa habari nzito kidogo kutoka mitaa ya Msimbazi.

Ikiwa imepita miezi miwili tangu dirisha la usajili lifunguliwe, pilika nyingi za usajili zilifanyika, Umafia, ubabe, ukatili na hata jeuri ya fedha imetumika kwa baadhi ya vilabu katika kuboresha au kusuka vikosi vyao.

Vilabu karibu vyote vilisajili kulingana na matakwa ya kocha kwa angalau 70% ya sajili mpya. Changamoto ilikuwa pale kwa wana LUNYASI ambapo, Magori, TRY AGAIN, BARBARA na MANGUNGU walipoingia sokoni kusaka vipaji wakati inajulikana wazi wao si fani zao.

Habari hii inaeleza kuwa kocha mpya wa SIMBA, Mr ZORAN MAKI ameweka mezani majina ma5 ya mastaa wapya kuwa hao hawataki na hawapo kwenye mpango wake, na kwamba watafutiwe timu haraka sana, bila kujali hasara iliyopata klabu hii kongwe.

Wachezaji hao ni kama ifuatavyo

1. Nassoro Kapama
2. Victor Akpan
3. Moses Phiri
4. Onyango
5. Kyombo

Ametanabaisha kuwa wachezaji aliosuggest yeye ndio muhimu zaidi ambapo mmoja wao ni DEJAN.

Niwatakie usiku mwema, nami ndio niko JOBURG TAX RANK hapa najisogeza mtaani kuegesha mgongo.
Hivi yule mzungu was simba anaitwa Mani vile1
 
Huyu kocha ndio atakaa muda mfupi Simba kuliko makocha wote waliopita ni suala la muda tu
Kocha huyu anaipeleka Simba fainali ya CAF Champions league!! Kaanza kwa kitoa dozi ligi kuu!! Poleni mnaojiota wananchi!!
 
Ikiwa ni majira ya Saa 4 usiku huku niliko, na Saa 5 Usiku hapo Nyumbani Tanzania, napenyezewa habari nzito kidogo kutoka mitaa ya Msimbazi.

Ikiwa imepita miezi miwili tangu dirisha la usajili lifunguliwe, pilika nyingi za usajili zilifanyika, Umafia, ubabe, ukatili na hata jeuri ya fedha imetumika kwa baadhi ya vilabu katika kuboresha au kusuka vikosi vyao.

Vilabu karibu vyote vilisajili kulingana na matakwa ya kocha kwa angalau 70% ya sajili mpya. Changamoto ilikuwa pale kwa wana LUNYASI ambapo, Magori, TRY AGAIN, BARBARA na MANGUNGU walipoingia sokoni kusaka vipaji wakati inajulikana wazi wao si fani zao.

Habari hii inaeleza kuwa kocha mpya wa SIMBA, Mr ZORAN MAKI ameweka mezani majina ma5 ya mastaa wapya kuwa hao hawataki na hawapo kwenye mpango wake, na kwamba watafutiwe timu haraka sana, bila kujali hasara iliyopata klabu hii kongwe.

Wachezaji hao ni kama ifuatavyo

1. Nassoro Kapama
2. Victor Akpan
3. Moses Phiri
4. Onyango
5. Kyombo

Ametanabaisha kuwa wachezaji aliosuggest yeye ndio muhimu zaidi ambapo mmoja wao ni DEJAN.

Niwatakie usiku mwema, nami ndio niko JOBURG TAX RANK hapa najisogeza mtaani kuegesha mgongo.
Victor Akpan kacheza mechi gani akashindwa ku perform mpaka aseme hana kiwango?
Huyu kocha ana hasira sababu mwanae "Mlete Mzungu" hakubaliki
 
Ikiwa ni majira ya Saa 4 usiku huku niliko, na Saa 5 Usiku hapo Nyumbani Tanzania, napenyezewa habari nzito kidogo kutoka mitaa ya Msimbazi.

Ikiwa imepita miezi miwili tangu dirisha la usajili lifunguliwe, pilika nyingi za usajili zilifanyika, Umafia, ubabe, ukatili na hata jeuri ya fedha imetumika kwa baadhi ya vilabu katika kuboresha au kusuka vikosi vyao.

Vilabu karibu vyote vilisajili kulingana na matakwa ya kocha kwa angalau 70% ya sajili mpya. Changamoto ilikuwa pale kwa wana LUNYASI ambapo, Magori, TRY AGAIN, BARBARA na MANGUNGU walipoingia sokoni kusaka vipaji wakati inajulikana wazi wao si fani zao.

Habari hii inaeleza kuwa kocha mpya wa SIMBA, Mr ZORAN MAKI ameweka mezani majina ma5 ya mastaa wapya kuwa hao hawataki na hawapo kwenye mpango wake, na kwamba watafutiwe timu haraka sana, bila kujali hasara iliyopata klabu hii kongwe.

Wachezaji hao ni kama ifuatavyo

1. Nassoro Kapama
2. Victor Akpan
3. Moses Phiri
4. Onyango
5. Kyombo

Ametanabaisha kuwa wachezaji aliosuggest yeye ndio muhimu zaidi ambapo mmoja wao ni DEJAN.

Niwatakie usiku mwema, nami ndio niko JOBURG TAX RANK hapa najisogeza mtaani kuegesha mgongo.
SASA ITAKUWAJE TUTAWAAMBIA NINI WATU MAANA HIZI SAJILI ZILIVYOTINGISHA NCHI?
 
Back
Top Bottom