Hii simba inayokwenda kushiriki champions league ndii ina mabeki wachovu namna hii kumbuka game nyingi za huko utakazo kutanazo zinafanania na hizi ambazo yanga amekutia presha.
Viungo wa simba wamebaki jina tu pale wamebaki kuwa maaarufu wa kucheza na timu ndogo na kuzionesha umwamba utakutana tena na waarabu sababu sijui itakuwa ni ipi
Simba inamuhitaji zaidi fraga kuliko hata muzamiru huo ndio utakuwa ukweli miaka yote ili wawa acheze vizuri fraga amkabie vile vile kiungo ya simba inamuhitaji zaidi huyu mtu angalau ndio wanaweza kumaintain kukaba na kushambulia Because he is real machine anawafutia makosa wachezaji wengi tu pale. Wengi wanaendelea kumuota kotei lakini mnasahau kwamba fraga ni mzuri kuliko hata huyo kotei duh,ugua pole fraga.
Wewe kocha wewe timu inazidi kupoteza fighting spirit kila siku wachezaji wanakuwa wamerelax hata husukumo golini kwa mpinzani ni wa kusua sua ukikutana na timu za ligi ya mabingwa watakuonesha matatizo yako vizuri
......................
George Masatu kaongeza msumari kwenye
Viungo wa simba wamebaki jina tu pale wamebaki kuwa maaarufu wa kucheza na timu ndogo na kuzionesha umwamba utakutana tena na waarabu sababu sijui itakuwa ni ipi
Simba inamuhitaji zaidi fraga kuliko hata muzamiru huo ndio utakuwa ukweli miaka yote ili wawa acheze vizuri fraga amkabie vile vile kiungo ya simba inamuhitaji zaidi huyu mtu angalau ndio wanaweza kumaintain kukaba na kushambulia Because he is real machine anawafutia makosa wachezaji wengi tu pale. Wengi wanaendelea kumuota kotei lakini mnasahau kwamba fraga ni mzuri kuliko hata huyo kotei duh,ugua pole fraga.
Wewe kocha wewe timu inazidi kupoteza fighting spirit kila siku wachezaji wanakuwa wamerelax hata husukumo golini kwa mpinzani ni wa kusua sua ukikutana na timu za ligi ya mabingwa watakuonesha matatizo yako vizuri
......................
George Masatu kaongeza msumari kwenye