Kocha wa Simba atimuliwe

Kocha wa Simba atimuliwe

Kwanini asiweke mbadala Fraga wamekaa kumbania Mzamiru katoa maboko kibao
Nilitamani Fraga acheze leo,lakini kwasababu hakuwepo hata kwenye ‘Mbao’ sina sababu ya kulaumu.

Huo ndo mpira ulivyo una maumivu na furaha ndani yake, muhimu kurekebisa tulipojikwaa..!
 
Alafu wewe utopolo fc ukome kumuita kocha wa Simba Sports Club kuku kushingo.
 
Kijana mbona hujaweka sababu za kutaka afukuzwe? Unadhani wote tunafikiri kama ufikiriavyo wewe?
Sababu yakwanza; Kocha ni KUKU KISHINGO!

Zingine ongezea hapa...................

[emoji1][emoji41][emoji38][emoji38][emoji38][emoji10][emoji8]
 
Et barakoa zimewaokoa[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
IMG-20200614-WA0016~2.jpg
 
Hapa kwa kweli hatuna kocha, kila siku anajaribu tu team. Mpaka watu 2achachamae ndo akili huwa zinamrudi, huyu alisababishaga mpaka mo akaandika barua ya kujitoa team ikiwa Zenji.
 
#kishingoout #kishingorudikwenu tuachie timu yetu HATUKUTAKI.
 
Habari zilizotufikia hivi Punde!!

Uongozi wa Simba chini ya Uongozi wake akiwepo katibu Mkuu Bwana Senzo na mdhamin Mkuu MO wapo katika mazungumzo yakuongezea Mkataba wa miaka 4 kocha wao bwana Sven
 
ndiyo maana hili li tim haliwezi endelea hata siku moja, ukisikia limeshinda kaa ukijua wamenunua refa au tim pinzan au sumu ya kutosha imepulizwa vyumbani, yaani hawana lolote uwanjani ndiyo maana kila leo ni kutimua makocha tuu, makocha wanaowafaa ni akina 'matolaa'
 
Back
Top Bottom