Mfungeni kamba asiondoke huyoHabari za uhakika ni kwamba yule Kocha aliyefeli vibaya simba kuliko makocha wote ameomba kuondoka simba ifikapo mwisho wa msimu.
Sababu ni kwamba Kolozidad hawampi thamani pia haoni mipango yoyote ya 5imba kusonga mbele badala yake wao Simba wanasonga ugali na dagaa Zanzibar.
🐸Mna chenu?Simba hawana chao..!🤸
Mtu kaifikisha timu robo fainali unasema ni kushusha cvSijui nani alimshauri kwenda Simba, kashusha CV kwa kiwango cha kutisha!
Kabla ya kuangalia pesa ni vyema kujiridhisha kwanza mazingira ya kazi unayoenda kuifanya.
Ukisikia timu inamilikiwa na mmoja wa matajiri wa Afrika unaanzia wapi kukataa?Sijui nani alimshauri kwenda Simba, kashusha CV kwa kiwango cha kutisha!
Kabla ya kuangalia pesa ni vyema kujiridhisha kwanza mazingira ya kazi unayoenda kuifanya.
Wewe ni mkorofi..!🤸🐸Mna chenu?
Sijui nani alimshauri kwenda Simba, kashusha CV kwa kiwango cha kutisha!
Kabla ya kuangalia pesa ni vyema kujiridhisha kwanza mazingira ya kazi unayoenda kuifanya.
DuuHabari za uhakika ni kwamba yule Kocha aliyefeli vibaya simba kuliko makocha wote ameomba kuondoka simba ifikapo mwisho wa msimu...
Mtu ametoka kuchukua ubingwa wa shirikisho na kumfunga bingwa wa Afrika unaongelea robo fainali?Mtu kaifikisha timu robo fainali unasema ni kushusha cv
Ndipo alipofeli, kocha mkubwa kama yule anatakiwa kuwa na team ambayo itakuwa na uwezo wa kumkusanyia taarifa kabla hajaingia mkataba na team husika.Ukisikia timu inamilikiwa na mmoja wa matajiri wa Afrika unaanzia wapi kukataa?
Ukishaingia mkataba ndiyo unagundua kukbe unatakiwa ku report kwa akina Mangungu, na unapewa wapambe akina Kisugu
Hapana mkweWewe ni mkorofi..!🤸
Mtu ametoka kuchukua ubingwa wa shirikisho na kumfunga bingwa wa Afrika unaongelea robo fainali?
Punguza ushabiki kwenye mambo serious. Nyie kwenu robo fainali ndio mafanikio sio kwa kocha mkubwa kama Benchikha.
🤸🤸🤸Hapana mkwe