Tetesi: Kocha wa Simba kutimuliwa kwa kushindwa kutikia malengo ya kuipeleka simba nusu fainali

Tetesi: Kocha wa Simba kutimuliwa kwa kushindwa kutikia malengo ya kuipeleka simba nusu fainali

Kama mnavyojua malengo waliyoku aliana Simba na Bechika ni kuipeleka simba nusufainali na sasa kafeli hivyo amebreach mkataba,hivyo uongozi na eye benchika watajadili jinisi ya kua Hana Kwa amani.

Je, hiyo hatua ya kutaka kusitisha mktaba wa benchika ni sawa ukichukulia aina ya team aliyopewa?
Kwahio ulitegemea hiyo Simba ya akina Jobe na Fred iende nusu?
 
Kwahio ulitegemea hiyo Simba ya akina Jobe na Fred iende nusu?
Suala ni mkataba ndo maana viongozi watakaa kikao kutoa maamuzi wiki ijayo
 
Kama mnavyojua malengo waliyoku aliana Simba na Bechika ni kuipeleka simba nusufainali na sasa kafeli hivyo amebreach mkataba,hivyo uongozi na eye benchika watajadili jinisi ya kua Hana Kwa amani.

Je, hiyo hatua ya kutaka kusitisha mktaba wa benchika ni sawa ukichukulia aina ya team aliyopewa?
Kwa wachezaji wepi hata yanga walihitaji wachezaji 6 wenye individual skills, ujuzi binafsi, ujasiri na akili ya kufanya maamuzi yenye Tija kwa wakati sahihi
 
Kwamba nikae nisubiri KIBU na wastaafu SAIDO na CHAMA ndo wa-CREATE nafasi kwa magalasa JOBE na FREDDY tumfunge Al AHLY.....
 
Wampe Mgunda the same team halafu uone watakavyocheza mentality ya team ipo weak sn they need freedom
 
Kama mnavyojua malengo waliyoku aliana Simba na Bechika ni kuipeleka simba nusufainali na sasa kafeli hivyo amebreach mkataba,hivyo uongozi na eye benchika watajadili jinisi ya kua Hana Kwa amani.

Je, hiyo hatua ya kutaka kusitisha mktaba wa benchika ni sawa ukichukulia aina ya team aliyopewa?
hawana ubavu wa kumtimua ila yeye ndio atawatelekeza
 
Mambo ya mipira hapo TU ndo panapochosha yani maisha ya kocha yapo mikononi mwa ushindi tu vikibuma huna kazi doh!
Sasa kocha wa Simba akifungwa na young tu basi anaondoka rasmi.Tujiandae kisaikologia
 
Kikubwa mamelod kafuzu NUSU FAINAL mengine taarabu tu za UTO
.
1712843366319.jpg
 
Back
Top Bottom